Mwenye kuzielewa Submeter za Umeme aje hapa

Ninayo moja orijino, ukihitaji ntakupa bure kabisa, utanipa ya chai elf kumi na usafiri elf kumi inakufikia ulopo.
 
Sasa ndo nini.

Yaani nimenunua umeme, niendelee kukaa gizani hadi Fulani arudi aje ahakikishe navoweka units!
Kwenye nyumba za kupanga ukionekana wewe ndo mwenye shida na umeme utaumia sana na utalalamika na kugombana na wanaojifanya hawana shida na umeme wakati wanautaka. Suluhisho ni wewe kuendana na mfumo wao, otherwise panga nyumba ya peke yako au jenga yako au weka mita yako km TANESCO wanakubali na km mtaelewana na mwenye nyumba. Full stop.
 
Kuna mdau mmoja ametaja yenye uwezo wa kukata umeme binafsi kwenye site yangu moja nimefunga aina hii.

Mtu ataweka umeme toka mita kubwa halafu atahamisha kwa kufanya vending ya units "online" na kupata token za kwenye hii submeter ndio atajaza humo.

Units zake zikiisha ndio inakata.

Gharama yake nilinunua per piece 130,000 Kariakoo.
 

Main meter (tanesco) ikiishiwa unit, hicho kisubmita nacho kinazima.

Tabu ipo pale pale bado.

-Kaveli-
 
YAANI HAPO KWENYE MVULUGANO WA KUNUNUA SUB METER NDIPO UTAONA UMUHIMU WA KUJENGA NYUMBA YAKO BINAFSI[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ni nzuri kwani inapunguza uwezekano wa kukaa gizani kwa kiasi kubwa kwa ambao umeme wao haujaisha. Kifupi athari ya umeme alionunua mmoja wapo kuisha kwenye submeter yake ni yeye mwenyewe kukaa gizani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…