Message deliveredWakuu,
Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.
Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?
Mbowe ajitafakari sana!
View attachment 3200855
Walipoketi walisalimiana?Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.
Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?
Mbowe ajitafakari sana!
Kumbe elimu yako ya demokrasia imeishia kwenye civics ya form 4!!Wewe pimbi nenda kasome tena civics ujuwe maana ya demokrasia.
Haya yote anayofanya Lissu ni kwasababu Mbowe karuhusu yafanyike ili baadae Lissu asilaumu mtu bali chawa wake! Ebu tafuta kawimbo ka "wajumbe"! usikilize kabla ya tarehe 21 Jan! Ahahahahaha!!!Wakuu,
Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.
Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?
Mbowe ajitafakari sana!
View attachment 3200855
Baraza la Wazee lilitaka licheze technicsl knockout kwa Lissu.Makosa makubwa ni kutembea sehemu moja na Lissu kwa wakati huu ambao anang'ang'ania madaraka.
Huu ni wakati wa Lissu, hakuna aliyewahi kushindana na wakati na akashinda.
Mmachame anaweza kutumia watu wa upande wa pili ili kufanikisha zoezi la kuiba kura, Hapo ndipo tukapojua demokrasia haipo kwenye maneno bali matendo.Wakuu,
Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.
Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?
Mbowe ajitafakari sana!
View attachment 3200855
Nataka kichwa yako na Demu wako MariaSamia kamuingiza Sultan chaka
tupia zote 2 na za mbowe akiingia ukumbiniWakuu,
Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.
Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?
Mbowe ajitafakari sana!
View attachment 3200855
vibaka tu hawana lolote ktk uchaguzi 21Wanapiga kura ya mwenyekiti hao?
MwenyeweKuna mtu anaweza kuteremsha heshima ya Mbowe? Mavi yenu
Wakuu,
Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.
Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?
Mbowe ajitafakari sana!
View attachment 3200855
Hili game la kihindi linachezwa hapa, Watu wanatafuna hela kijanja bila kushtukiwa na upande wa mboga mboga, Alafu sterling anafia kwenye maua.Ajiuzulu ili iweje? Kwani maana ya demokrasia ni nini?
Kama mna uhakika Tundu Lissu anashinda kwa nini mnaogopa Mbowe asishiriki uchaguzi??
Chawa la mama Abdul uko kibaruani kumtetea MboweWewe pimbi nenda kasome tena civics ujuwe maana ya demokrasia.
Mihemko ya vijana huwezi kuizuia. Wakati wanazaliwa hawa vijana Mwamba na Muasisi wa chama hiki alikuwa anapambania na ndiyo maana wamekikuta kipo salama hadi leo wapo hapo Ubungo Plaza wanapata kiyoyozi..Wakuu,
Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.
Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?
Mbowe ajitafakari sana!
View attachment 3200855
Cc.Tlaattlaah,Choicevariabe,Lucas Mwashamba,Johnthebaptist,Comte,Cremia na marafiki zao wote wa Mboga mboga.Wakuu,
Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.
Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?
Mbowe ajitafakari sana!
View attachment 3200855