Mwenye namba ya Mbowe amtumie clip hii ya kwenye mkutano wa BAVICHA. Mbowe ajitafakari sana!

Mwenye namba ya Mbowe amtumie clip hii ya kwenye mkutano wa BAVICHA. Mbowe ajitafakari sana!

Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.

Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?

Mbowe ajitafakari sana!
Walipoketi walisalimiana?
 
Wakuu,

Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.

Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?

Mbowe ajitafakari sana!

View attachment 3200855
Haya yote anayofanya Lissu ni kwasababu Mbowe karuhusu yafanyike ili baadae Lissu asilaumu mtu bali chawa wake! Ebu tafuta kawimbo ka "wajumbe"! usikilize kabla ya tarehe 21 Jan! Ahahahahaha!!!
 
Katika hotuba zake zote,Mbowe hajataja neno rushwa au audilifu.Ni sawa na Lowasa mwaka 2015 hadi kampeni zinaisha hakutaja neno rushwa.
 
Makosa makubwa ni kutembea sehemu moja na Lissu kwa wakati huu ambao anang'ang'ania madaraka.

Huu ni wakati wa Lissu, hakuna aliyewahi kushindana na wakati na akashinda.
Baraza la Wazee lilitaka licheze technicsl knockout kwa Lissu.
Lissu alipokaribishwa akasalimia tu na kuwatakia wazee uchaguzi mwema na wa haki.
Mbowe ndiye mgenirasm, alipoitwa kuhutubia akautumia muda ule effectively kujipigia kampeni.
Ulipofika muda wa kuaga kwenda kwenye Mkutano wa vijana, wazee wakadai wasingependa waachwe wapweke hivyo wanamruhusu Mwenyekiti aondoke kwenda kwa vijana ila wanamuomba Makamu abaki nao ili wasiwe wapweke..
Tundu Lissu akastuka na kuna mtu akaingilia na kuwaambia itaharibu logistics pia hawahitajiki kuwepo wakati ucjaguzi unaendelea sababu mwalik wao ni kudalimia, kuwatakia uchaguzi mwema na kuondoka ili .
Walipofika Ubungo Plazza, kule Lissu akaona ashukeshe nondo, na alishusha nondo hasa. Alipokuja Pambalu naye akashusha nondo na kushuka akisahau kimkaribisha Mwenyekiti, ikabidi arudi kumkaribisha
 
Wakuu,

Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.

Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?

Mbowe ajitafakari sana!

View attachment 3200855
Mmachame anaweza kutumia watu wa upande wa pili ili kufanikisha zoezi la kuiba kura, Hapo ndipo tukapojua demokrasia haipo kwenye maneno bali matendo.
Mmachame anaondolewa kwa nguvu ya ushawishi wa mitandao ya kijamii
 
Mbowe kasema anamhitaji lisu, wenye akili tushamuelewa
 
Wakuu,

Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.

Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?

Mbowe ajitafakari sana!

View attachment 3200855

View: https://x.com/MwananchiNews/status/1878804477098315891?t=AhsIKdQtM2jsREegsPIvwQ&s=19

Sijajua Kwa nini mnaweweseka,kama mnakubalika si mtachaguliwa tuu shida Iko wapi? Kwani Mbowe amesema atagomea matokeo? 😆😆
 
Ajiuzulu ili iweje? Kwani maana ya demokrasia ni nini?

Kama mna uhakika Tundu Lissu anashinda kwa nini mnaogopa Mbowe asishiriki uchaguzi??
Hili game la kihindi linachezwa hapa, Watu wanatafuna hela kijanja bila kushtukiwa na upande wa mboga mboga, Alafu sterling anafia kwenye maua.
 
Wakuu,

Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.

Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?

Mbowe ajitafakari sana!

View attachment 3200855
Mihemko ya vijana huwezi kuizuia. Wakati wanazaliwa hawa vijana Mwamba na Muasisi wa chama hiki alikuwa anapambania na ndiyo maana wamekikuta kipo salama hadi leo wapo hapo Ubungo Plaza wanapata kiyoyozi..
 
Wakuu,

Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.

Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?

Mbowe ajitafakari sana!

View attachment 3200855
Cc.Tlaattlaah,Choicevariabe,Lucas Mwashamba,Johnthebaptist,Comte,Cremia na marafiki zao wote wa Mboga mboga.
 
Back
Top Bottom