Mwenye nyumba anataka nihame

Mwenye nyumba anataka nihame

Limeisha nakupa ofa kuna moja nilimbebea ex wangu nimehairisha kumpa, nakupa wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Issue kwenye size sasa
Ahahahha mwili wangu si unaujua bhna ila kwanini umpe ex wako?
 
Morning

Nipo zangu mkoa napigiwa simu kisa nina mke mzuri alikuwa anakuja kunisalimia mara kwa mara nakaa nyumba kubwa uku nyuma ya nyumba kuna msimamiz wa nyumba ni mwanamke

Sasa mara kwa mara akija wife huwa nakuwa na vitu vingi sana sasa leo nimepigiwa simu kuwa nihame wanataka kufanya marekebisho mimi nimegoma kuhama na nimemuambia wife aende nyumbani hapo

Sina kosa lolote nipo bise na mambo yangu wao ndio wananifwatilia sana nilimshauri mwenye nyumba hamtoe huyo ndugu yake hataki
Psychology ya msimamizi wa nyumba hiyo ilikuwa imelala kwako. Sasa kila akijitahidi unatumia Counter attack techniques, ameona isiwe noma, akufukuze ili maumivu yake yapoe. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ahahahha mwili wangu si unaujua bhna ila kwanini umpe ex wako?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwili wako naujua nimeuona wapi? Unataka kunipambanisha na wapenzi wako? Sitaki hekaheka mie humu nikaja kuchukiwa bure.
 
Psychology ya msimamizi wa nyumba hiyo ilikuwa imelala kwako. Sasa kila akijitahidi unatumia Counter attack techniques, ameona isiwe noma, akufukuze ili maumivu yake yapoe. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona nimegoma kuhama na nimesema sitok tena nataka kupaka na rangi kabisa nyumba kwa ndani
 
Back
Top Bottom