Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #61
Vizur nitafutie na mimi yangu ya mazoezi basNipo chimbo natafuta sample za kuuzia wateja mtu wangu [emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizur nitafutie na mimi yangu ya mazoezi basNipo chimbo natafuta sample za kuuzia wateja mtu wangu [emoji16][emoji16]
Si unajua tunaishi mara moja tuna kufa mara mojaWavuvi Kemp 😅😅✌️
SamakisamakiWavuvi kempu eh?
Hapo samaki samaki chimbo la watu wote yaani kila mtu anaingia tu jau sanaSamakisamaki
Vizur nitafutie na mimi yangu ya mazoezi bas
Wacha bwanaHapo samaki samaki chimbo la watu wote yaani kila mtu anaingia tu jau sana
Ahahahha mwili wangu si unaujua bhna ila kwanini umpe ex wako?Limeisha nakupa ofa kuna moja nilimbebea ex wangu nimehairisha kumpa, nakupa wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Issue kwenye size sasa
Psychology ya msimamizi wa nyumba hiyo ilikuwa imelala kwako. Sasa kila akijitahidi unatumia Counter attack techniques, ameona isiwe noma, akufukuze ili maumivu yake yapoe. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Morning
Nipo zangu mkoa napigiwa simu kisa nina mke mzuri alikuwa anakuja kunisalimia mara kwa mara nakaa nyumba kubwa uku nyuma ya nyumba kuna msimamiz wa nyumba ni mwanamke
Sasa mara kwa mara akija wife huwa nakuwa na vitu vingi sana sasa leo nimepigiwa simu kuwa nihame wanataka kufanya marekebisho mimi nimegoma kuhama na nimemuambia wife aende nyumbani hapo
Sina kosa lolote nipo bise na mambo yangu wao ndio wananifwatilia sana nilimshauri mwenye nyumba hamtoe huyo ndugu yake hataki
Inaonekana leo upo na mimi? Ni vyema kunyamaza kuliko.kuongea ili mradi uonekane unajua kuongeaWacha bwana
Ahahahha mwili wangu si unaujua bhna ila kwanini umpe ex wako?
Mbona nimegoma kuhama na nimesema sitok tena nataka kupaka na rangi kabisa nyumba kwa ndaniPsychology ya msimamizi wa nyumba hiyo ilikuwa imelala kwako. Sasa kila akijitahidi unatumia Counter attack techniques, ameona isiwe noma, akufukuze ili maumivu yake yapoe. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kiuono 31[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwili wako naujua nimeuona wapi? Unataka kunipambanisha na wapenzi wako? Sitaki hekaheka mie humu nikaja kuchukiwa bure.
NakaziaSkuizi Jf imekua na vijana wa hovyo sana aiseee....☹️
Na hapo utakuta umekaa sebleni kwa shemeji yako ushakunywa chai na viazi, saizi unacheza na wakina junior tu...😊
Kiuono 31
Kwahiyo lenie mimi nacheza na kina junior sio?Nakazia
Iwe bombaPoa nitakucheck piem boss
Kosa langu nini sasa hapo mzee baba...mie jobless najishindia.humu nikipata vocha...relaxInaonekana leo upo na mimi? Ni vyema kunyamaza kuliko.kuongea ili mradi uonekane unajua kuongea
Si hawajaenda shule leo😂Kwahiyo lenie mimi nacheza na kina junior sio?
Ahahha kejeli ni mbaya sana hivi mtu akisema Amefika sehemu fulani mnaona vitu vya ajabu ni vitu vya kawaida sanaKosa langu nini sasa hapo mzee baba...mie jobless najishindia.humu nikipata vocha...relax