Mwenye penzi la siri kumbe alikuwa na mchumba wake?

Mwenye penzi la siri kumbe alikuwa na mchumba wake?

❤️good! Jana ulikula mbususu ngapi? Au ndo ulikosa kabisa! Maana tongoza yako nawe sikuhizi sielewielewi 🤔
Ah jana niliishia kulala peke yangu...mambo magumu sii unajua tena bila hela mbususu utaishia kuziona instagram
 
Shida yenu ni tamaa wala siyo kuhudumia. Unaweza kumhudumia ila kuna kijana jirani anajua kuvaa na kujipulizia perfume. Anajipeleka anagongwa.
Wanaume hatujazaliwa na hela, tunatafuta kwa tabu sana.
Mwanamke huwa haliridhiki 100%.
Ni rahisi sana kula mke wa mtu kuliko mwanamke ambaye hajaolewa.
Point mzee mke wa mtu ni mrahisi kuliko aliyesingo
 
😃😃dingi unanipeleka kibra nn
Wala mzee mie nimekupa bonge la mke. Yaani hapo wewe ushindwe mwenyewe. Mtoto tall, yaani kaenda hewani alafu sii unajua tena hawa matolu walivyo wakarimu na wenye kunyeyeyka waume zao. Uzuri zaidi anapenda minyanduano...yaani kama kusoma story yake tuu unadi disha ebu vuta picha ndio upo nae faragha itakuwaje....unaweza kojowa ubungo
 
kula mtori bro, mm kuna moja niliifukuzia ikaja na tambo kibao sijui ipo kwenye ndoa nikaona mambo yasiwe mengi nikazimia gari kwenye gia almost mwaka umepita nimekula deep cool, juzi nikasema eb nijaribu kuwasha tena jana jioni nimejichakatia vizuri msela wake story zake hataki kuongelea. tuishi tu hawa viumbe kwa kuwa siku ya kuondoka hatubebi takeaway tutaviacha hapa hapa ni kujichakatia tu na kuendelea na mambo mengine.
 
Back
Top Bottom