Mwenye penzi la siri kumbe alikuwa na mchumba wake?

Mwenye penzi la siri kumbe alikuwa na mchumba wake?

Kuishi ndani ya mahusiano kungekua sio changamoto na kusivuruge akili baina ya wapenzi kama kila mmoja angeamua kusema ukweli juu ya mwenzake, kama ni upendo wa matamanio au nyege we sema.

Tatizo siku hizi mahusiano kila mmoja anajaribu kuonesha tabia zitakazo mvuta mwenzake ata kwa kusema uwongo ili afikie lengo lake.
Ni kweli nami icho kitu kinanisumbua saana wabongo ni waongo saana
 
Wala mzee mie nimekupa bonge la mke. Yaani hapo wewe ushindwe mwenyewe. Mtoto tall, yaani kaenda hewani alafu sii unajua tena hawa matolu walivyo wakarimu na wenye kunyeyeyka waume zao. Uzuri zaidi anapenda minyanduano...yaani kama kusoma story yake tuu unadi disha ebu vuta picha ndio upo nae faragha itakuwaje....unaweza kojowa ubungo
Hebu kwanza🤔🤔umenambia umeskia ni mzuri na hapa unadecribe confidentlly kwamba ni tall

Unamjua?
 
Wasafi wengi huvaa nguo safi tena nyeupa nao hujiita watakatifu
[emoji848]
 
Back
Top Bottom