Mwenye penzi la siri kumbe alikuwa na mchumba wake?

Ni kweli nami icho kitu kinanisumbua saana wabongo ni waongo saana
 
Hebu kwanza🤔🤔umenambia umeskia ni mzuri na hapa unadecribe confidentlly kwamba ni tall

Unamjua?
 
Wasafi wengi huvaa nguo safi tena nyeupa nao hujiita watakatifu
[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…