Mwenye sample ya talaka tafadhali

jamani naomba mwenye sample ya talaka humu ndani anipostie nataka kufanya maamuzi magumu kidogo

Hahahah!!!

Nahisi ni wewe mkuu ulikuja hapa last time...

Last time nilikuambia kuwa wewe mwanaume hiyo ndoa yako umesingiziwa, huna stamina ya kuitwa mume...

Ona sasa unataka kumuacha mkeo, na bila shaka kisa ni ile habari ya hati ya kiwanja kuandikwa jina la mkeo...

Haya muache tu, wakati wewe wamuona wa kazi gani wengine wamuona malkia na wammendea kweli.
 
ukitoa talaka kuna vitu fulani unavikosa kwa 100%

achaneni kwa maneno tu..! mkikumbana na maeneo, mnamalizana juu juu kiaina!

cc.. Passion Lady $ Lady doctor!
 
Last edited by a moderator:
jamani naomba mwenye sample ya talaka humu ndani anipostie nataka kufanya maamuzi magumu kidogo

Hahahah!!!

Nahisi ni wewe mkuu ulikuja hapa last time...

Last time nilikuambia kuwa wewe mwanaume hiyo ndoa yako umesingiziwa, huna stamina ya kuitwa mume...

Ona sasa unataka kumuacha mkeo, na bila shaka kisa ni ile habari ya hati ya kiwanja kuandikwa jina la mkeo...

Haya muache tu, wakati wewe wamuona wa kazi gani wengine wamuona malkia na wammendea kweli.
 
Talaka sio lazima kuandika ata kutamka tu inafaa

mmh.. inverse na sheria za ndoa mkuu,

sasa mlionaje? kimila au kiserikali ama kikanisani?

nowadays mkiachana tu, lazima mgawane umate mate mliotafuta wote.... otherwise uliishi na kimada ndani!
 
mmh.. inverse na sheria za ndoa mkuu,

sasa mlionaje? kimila au kiserikali ama kikanisani?

nowadays mkiachana tu, lazima mgawane umate mate mliotafuta wote.... otherwise uliishi na kimada ndani!
kugawana ,mi namuachia kila kitu ntabeba nguo zangu tu
 
nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…