Wapi nimekukosea bwana mkubwa kwani...🤔Mtu mzima hovyo
Haya mambo yanamkuta mtu yoyote katika wakati wowote.Mimi nasoma tu ila comment yako nimeisoma kiundani.
Inna lillahi wainna ilayhi rajiuunWakuu poleni na majukumu, Kuna ajali ya gari ndogo nasikia imetokea maeneo ya Iringa, mwenye taarifa kamili atujuze.
Dah, nimepata taarifa juu juu, Kuna ndugu yangu amesafiri, simpati kwenye simu
Mungu wa mbinguni awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu mnachopitiaSijui hata nisemeje, nikitoka mm anafata yeye, yeye ndio was mwisho, bado mdogo, dah inaniuma sana, maisha haya
Wewe ndo una masikharaNamtafuta ndugu yangu, usilete masihara,
Poleni sana...Nimefanikiwa, ndugu yangu amefariki, nimevurugwa
Pole, Mungu awe nanyi. Hiyo ajali imetokea eneo gani na walikuwa wanaenda wapi?Nimefanikiwa, ndugu yangu amefariki, nimevurugwa
Idiot
Hivi ndiyo huyo agent clearing &forwarding alikuwa anaendesha ITNimefanikiwa, ndugu yangu amefariki, nimevurugwa
Pole kaka ajali imetokea sehemu gani ? Daaah pole sanaNimefanikiwa, ndugu yangu amefariki, nimevurugwa