Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Jamani tuko katika maombelezo, hujui train ya sgr imeua watanzania? ianze mara ngapi?
 
Kama unashauri kila kitu twende you tube JF ya nini sasa, mind you mtu anapouliza swali public inawezekana si kwa faida yake pekee ni faida kwa wengine pia.
 
Walikwambia watanunua kwa cash.
 
Unabisha kwa vile wewe robot huna namna lazima ubishe ili ulipwe Buk 7 ila ukweli utabakia pale pale kuwa hakuna dawa kwenye mahospitali ya Serikali.
 
You are not following the discussion, that's why unasema nijikite kwenye mada.

When it comes to following issues, you are the least to point fingers. If you go back and see why I responded like that. You will have a difficult time to paint JPM in a negative way, Tanzanians aren't foolish.
 
kabaki pole pole na porojo zake et upinzani sawa na corona mshamba kweli yule hivi ana akili timamu kweli amuoni mwezie nape sasa limemshuka anashinda vijiweni huko mtama akiwaomba vijana wampe tena kura na sijui kama atarudi tena
Mkuu angekuwa na akili timamu asingepata zero pale Azania.Yaani Mr.Slow slow ni zero anayefanya kazi na zero wenzake
 
Anashindwaje sasa kuwapa JWTZ? Au SGR haiwezi kugwuka kifaru cha jeshi Kama kile kivuko kibovu
 
Wewe ni mjinga,kwani wanapewa huduma bure? Wambie wazuie uone nani ataumia
 

Serikali ya CCM mpaka Sasa hawana Fedha ya kuendesha hiyo miradi...! Walitegemea Fedha ya MAKINIKIA ambayo mpaka Leo haijalipwa.,!
 
When it comes to following issues, you are the least to point fingers. If you go back and see why I responded like that. You will have a difficult time to paint JPM in a negative way, Tanzanians aren't foolish.
So you are sick because somebody criticises your sycophant President?? Why did you go to school then? Only to be a boot licker!! I assure that anybody with sane mind will not bend to the intolerable atrocities this man is doing to our nation. You would rather go to hell than stop me from exercising my basic inalienable right of freedom of expression.
 

No one is forcing you to do anything, and for that matter you can express your views as you like. At the moment JPM is the chosen one whether you like it or not. Your party ooops ..... ...… Sacos is a minority and will remain so for a long time to come. The reason being that you have no genuine agenda to transform the lives of the majority. JPM is a game changer and the results are seen by the majority of this country. Aluta continua, we are heading to the real Tanzania which was envisaged by our founders.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…