Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Hakuna mradi ambao ujenzi umesimama.miradi haijakamilika lakini ujenzi unaendelea. Niko mita 100 eneo la mradi SGR.ni suala la muda tu.kila kitu kitakamilika. Na nyinyi mjenge makao makuu ya chama..tutawachangia kama tulivyowachangia viongozi wenu wakiwa mahabusu.Jikite kwenye hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app