matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Nimekaa sehemu na watu makini wanabishana Katiba ilivyoathiri maisha yao na mimi nimepata cha kuuliza kwa wakuu humu.
Binafsi nikijipima sioni jinsi ilivyoathili maisha yangu. Ninawajibika kwa hivi nilivyo. Nikiwa nabidii nafanikiwa tu bila hata kujua habari za saa mbili au hotuba ya Rais imesemaje au Bunge limeamua nini.
Nikiwa mvivu, mpuuziaji, huwa nafulia tu. Huenda upeo wangu umeanza kufubaa.
Unaweza kueleza kwa lugha rahisi tu jinsi Katiba hii imekuletea umasikini au utajiri au kama haijakuathili chochote.
Binafsi nikijipima sioni jinsi ilivyoathili maisha yangu. Ninawajibika kwa hivi nilivyo. Nikiwa nabidii nafanikiwa tu bila hata kujua habari za saa mbili au hotuba ya Rais imesemaje au Bunge limeamua nini.
Nikiwa mvivu, mpuuziaji, huwa nafulia tu. Huenda upeo wangu umeanza kufubaa.
Unaweza kueleza kwa lugha rahisi tu jinsi Katiba hii imekuletea umasikini au utajiri au kama haijakuathili chochote.