SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Umelisoma bandiko langu wa muimo tofauti sana.Hili swali ni lile lile swali ambalo watetezi wa mafisadi ya ccm huwa wanauliza kuwa mwenye ushahidi auweke wazi. Ni swali lile lile ambalo CHADEMA waliuliza kuwa mwenye ushahidi wa ufisadi wa lowasa aupeleke mahakamani wakati ni wao wenyewe waliozunguka Tanzania kwa miaka 8 mfululizo waksiema ni fisadi, anafaa kupigwa mawe.
Kwa nchi hii ilivyo, ukitaka ushahidi, kila kigogo ni msafi maana hutoupata.
Mind you, mimi si kati ya wanaosema Mbowe anakula ruzuku ila tu ninalinganisha swali lako na swali lililozoeleka
Umeishajiuliza kwa nini uwa anaenda Ikulu peke yake hataki kuongozana nq mtu?Kwa kifupi sana
Mbowe hawezi kuhongwa na Serikali wala CCM kwa sababu akiwaletea ukorofi ndio inakuwa kama Billy's au Rau Madukani
Na Vyama Vya Upinzani haviwezi kumuhonga Mbowe kwa sababu Wanamjua " vizuri"
Mbowe haongeki bali analipika!
Jumaa Mubarak π
kumuelimisha "Chawa" ni kazi kiuhayawani.Mbowe ni jizi, jambazi, fisadi, tapeli, dikiteta n.k
Kwa ivo unataka kusema Rais ndiye anayemhonga Mbowe??Umeishajiuliza kwa nini uwa anaenda Ikulu peke yake hataki kuongozana nq mtu?
Angejenga jengo moja kubwa tu kuliko kununua magari mengi ya M4C au kukodi chopa.
Uko sahihi sana, kulikuwa na uwezo mkubwa ww kujenga ofisi ya 500m-1b, lakini wakaingia kwenye mambo mengine kabisa. Na uwezakano wa Kila wilaya na Mkoa kuwa na ofisi ya 30-50m ulikuwa mkubwa mno.
Usinisemee jibu swali kwa nini safari za Ikulu anaenda peke yake hataki kuongozana na mtu?Kwa ivo unataka kusema Rais ndiye anayemhonga Mbowe??
Ficha...Unaona wanaCHADEMA wananung'unika jinsi Uongozi wa CDM ulivyokosa prorities.
wakipewa Nchi itakuwaje?
Mwishowe hata gari la Raisi liishiwe mafuta baraharani kama Helikopta.
Mpaka leo wanataka afikishwe mahakamani wakati walimpa nafasi ya kugombea uraisi kupitia chama chao? Yani mtu unayetaka afikishwe mahakamani kwa ufisadi unampa nafasi ya kugombea urais. Hakuna propaganda, bali ni CHADEMA waliozunguka nchi nzima waksiema ni fisadi.Umelisoma bandiko langu wa muimo tofauti sana.
CCM wanaposema mwenye ushahidi aje hujua watu wataogopa dola na hawatajitokeza, lakini kwa Mbowe kama ushahidi upo CCM au wabaya wake wangeshautumia kwa kuwa yeye hana dola.
suala la Lowassa linaeleweke wengine wasioelewa ni wale walioshibishwa Propaganda za CCM. Mpaka leo CHADEMA wanataka Lowassa afikishwe mahakamani na wao walisema ni kwa nini afikishwi mahakamani kama anatuhumiwa kwa ufisadi,
Hivi ufisadi wa Lowassa unahusiana na nini hasa!!??
Mjadala ni Mbowe kuhongwa... Wewe unaleta mambo ya yeye kwenda Ikulu peke yake. Ni kama unaashiria kwamba huwa akienda Ikulu ndiyo anakwenda kuhongwa.Usinisemee jibu swali kwa nini safari za Ikulu anaenda peke yake hataki kuongozana na mtu?
Anapanda Mbowe na Mrema tuKubwa la maadui...
Haya mambo kwa watu walio ndani wanajua. Ni kama kujiuliza kilianza nini kati ya Yai na kuku.
Nani huwa anachangia operesheni mbali mbali za CHADEMA na gharama zake huwa ni kiasi gani. Operesheni nyingi zinaendeshwa kwa mtindo wa kujenga chama hivyo kunakuwa na kundi kubwa sana la watu toka Makao Makuu.
Jee kwa siku moja zinatumika shilingi ngapi. Mtazamo wa chama ilikuwa kujenga watu ambao mwisho wa siku waje wajenge ofisi za chama nchi nzima. Kuna baadhi ya maeneo hili limefanikiwa sana.
Kumpa nafasi ya kugombea ilikuwa ni kosa la kiufundi lakini siyo jinai. Lakini kama mpaka leo kama inaaminika kwamba ni fisadi si wamfikishe mahakamani??Mpaka leo wanataka afikishwe mahakamani wakati walimpa nafasi ya kugombea uraisi kupitia chama chao?
kwani ufisadi wa Lowassa uliokuwa unasemwa na CHADEMA ulihusu nini hasa!!??Yani mtu unayetaka afikishwe mahakamani kwa ufisadi unampa nafasi ya kugombea urais. Hakuna propaganda, bali ni CHADEMA waliozunguka nchi nzima waksiema ni fisadi.
Ndiko iliko ofisi ya boss wakeUmeishajiuliza kwa nini uwa anaenda Ikulu peke yake hataki kuongozana nq mtu?
Route tofauti mtatumiaje chombo kimoja cha usafiri.Anapanda Mbowe na Mrema tu
Tundu Antipas Lisu Vumbi kwa Lami dadeki
Nakuja baadaye ngoja nitoke shambani.lakini nikakutage mmeniandalia majibu ya fedha za join the chain zilipatikani shilling ngapi na zipo wapi? Nikute pia majibu ya zilipo pelekwa million mia moja alizotoa mzee sabodo. Nikute pia majibu ya wapi michango ya wabunge kwa miaka yote waliyokuwa wanakatwa kila mwezi pamoja na mamilioni ya Ruzuku zilikwenda wapi ikiwa chama kilikuwa kinakaa kwenye pagala la kupanga ambalo lilikuwa halipakwi hata rangi? Nikute pia majibu kuwa katika ile michango ya Hanang ambayo mbowe aliweka picha yake na namba ya simu ili achangiwe alipata shilingi ngapi na pesa zimekwenda wapi wakati chama hakijapeleka cha kueleweka kwa waathirika wa Hanang?Lucas mwashambwa njoo huku
Ilitakiwa Tundu Lisu ndio atumie Chopa kulingana na hali yakeRoute tofauti mtatumiaje chombo kimoja cha usafiri.
Enzi zako unakwenda kwenu ulikuwa unapanda gari moja na Rafiki yako Mkuchika... π π π
Hapa umesalimia tu πππNakuja baadaye ngoja nitoke shambani.lakini nikakutage mmeniandalia majibu ya fedha za join the chain zilipatikani shilling ngapi na zipo wapi? Nikute pia majibu ya zilipo pelekwa million mia moja alizotoa mzee sabodo. Nikute pia majibu ya wapi michango ya wabunge kwa miaka yote waliyokuwa wanakatwa kila mwezi pamoja na mamilioni ya Ruzuku zilikwenda wapi ikiwa chama kilikuwa kinakaa kwenye pagala la kupanga ambalo lilikuwa halipakwi hata rangi? Nikute pia majibu kuwa katika ile michango ya Hanang ambayo mbowe aliweka picha yake na namba ya simu ili achangiwe alipata shilingi ngapi na pesa zimekwenda wapi wakati chama hakijapeleka cha kueleweka kwa waathirika wa Hanang?
Hayo ni maswali baadhi tu kati ya mengi nitakayokuja nayo nikipumzika mwili baada ya kutoka shambani
Hela walipwe CHADEMA mchanganuo atoe Mbowe... unawaza sawasawa wewe!!Unataka ushahidi upi? Anatakiwa atoe matumizi ya ruzuku aweke mchanganua wa hesabu tuone kutuambia tulete ushahidi wakati akaunti ya ruzuku yeye ndiyo anatoa pesa unataka twenda benki kuomba statement ?
Mlimpiga risasi ili mje kusema "kulingana na hali yake"?Ilitakiwa Tundu Lisu ndio atumie Chopa kulingana na hali yake