Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona sasa akili yako ruzuku ni kodi zetu tuna haki ya kuhoji.Hela walipwe CHADEMA mchanganuo atoe Mbowe... unawaza sawasawa wewe!!
Yaani unataka kusema Serikali inayoongozwa na CCM badala ya kuweka hela kwenye Akaunti ya CHADEMA yenyewe inaweka hela kwenye Akaunti ya Mbowe?? Si Ujuha huo!!??
Umesahau kuweka namba ya simu.Nakuja baadaye ngoja nitoke shambani.
Siasa zina gharama zakeMlimpiga risasi ili mje kusema "kulingana na hali yake"?
Lissu yupo "Strong" na Mungu bado anamlinda aendelee kuipigania Tanganyika na Zanzibar.
Kwenye siasa za kugombea madaraka huwa kunakuwa na fitina, uongo, sarakasi na propoganda nyingi sana ndani ya vyama na kati ya vyama, mfano ni huu ambao Kinana alienda mbali zaidi hadi akamuhusisha Lowassa na magaidi au watu wenye misimamo mikali!Hili swali ni lile lile swali ambalo watetezi wa mafisadi ya ccm huwa wanauliza kuwa mwenye ushahidi auweke wazi. Ni swali lile lile ambalo CHADEMA waliuliza kuwa mwenye ushahidi wa ufisadi wa lowasa aupeleke mahakamani wakati ni wao wenyewe waliozunguka Tanzania kwa miaka 8 mfululizo waksiema ni fisadi, anafaa kupigwa mawe.
Kwa nchi hii ilivyo, ukitaka ushahidi, kila kigogo ni msafi maana hutoupata.
Mind you, mimi si kati ya wanaosema Mbowe anakula ruzuku ila tu ninalinganisha swali lako na swali lililozoeleka
Ficha...
Angejenga jengo moja kubwa tu kuliko kununua magari mengi ya M4C au kukodi chopa.
ficha wewe.Uko sahihi sana, kulikuwa na uwezo mkubwa ww kujenga ofisi ya 500m-1b, lakini wakaingia kwenye mambo mengine kabisa. Na uwezakano wa Kila wilaya na Mkoa kuwa na ofisi ya 30-50m ulikuwa mkubwa mno.
Na ile ya Mikocheni??Chama kikuu cha upinzani kimeazishwa mwaka 1992 kweli tuna ofisi ya kupanga ya room 3.
Ruzuku ya chama inafanya kazi gani?
"MTI WENYE MATUNDA NDIO HUPIGWA MAWE" NI WAJINGA NA WAPUMBAVU WALIOKOSA HOJA WANAMZULIA JABALI LA SIASA ZA UPINZANI Kamanda MBOWEKama wewe una ushahidi kwamba Freeman Mbowe anakula Ruzuku za CHADEMA ama yeye binafsi au uongozi mzima wa CHADEMA yeye akiwa mwenyekiti wake, walipewa rushwa na CCM ili waache harakati za kuipigania Tanganyika na Zanzibar, uuweke hapa ili watanzania wote wauone.
Sema kweli ama kaa Kimya!!
Kuna mahali nimesema isihojiwe... ila hujui jinsi ya kuhoji.Unaona sasa akili yako ruzuku ni kodi zetu tuna haki ya kuhoji.
CHADEMA tulitegemea iwe tofauti. Sasa kama ilizunguka miaka 8 ikisema lowassa ni fisadi halafu baadaye ikasema si fisadi sasa ni vigumu kuamini kingine watakachosema maana ni vigumu kutofautisha ni wapi wanasema ukweli na wapi wanasema uongo.Kwenye siasa za kugombea madaraka huwa kunakuwa na fitina, uongo, sarakasi na propoganda nyingi sana ndani ya vyama na kati ya vyama, mfano ni huu ambao Kinana alienda mbali zaidi hadi akamuhusisha Lowassa na magaidi au watu wenye misimamo mikali!
Kinana: Tanzania cannot be allowed to be the new front for terrorists
In 2013 two British volunteer teachers, Katie Gee and Kirstie Trup – both at the time teenagers – suffered a horrific attack while in Zanzibar, part of Tanzania in East Africa, when two men on motorbikes threw sulphuric acid in their faces. Flown back to London, surgeons removed from...www.jamiiforums.com
Ahaaa ahaa, imebidi nicheke sana, kwamba uwe na wanafunzi wengi, kisha hao wanafunzi ndio waje wajenge madarasa! Haya tuseme hao watu wameshakuwa wengi, je ofisi ziko wapi?Haya mambo kwa watu walio ndani wanajua. Ni kama kujiuliza kilianza nini kati ya Yai na kuku.
Nani huwa anachangia operesheni mbali mbali za CHADEMA na gharama zake huwa ni kiasi gani. Operesheni nyingi zinaendeshwa kwa mtindo wa kujenga chama hivyo kunakuwa na kundi kubwa sana la watu toka Makao Makuu.
Jee kwa siku moja zinatumika shilingi ngapi. Mtazamo wa chama ilikuwa kujenga watu ambao mwisho wa siku waje wajenge ofisi za chama nchi nzima. Kuna baadhi ya maeneo hili limefanikiwa sana.
Hoja hiyo imepitwa na wakati...ficha wewe.
Chadema wana ofisi Mikocheni? Kwa faida ya JF naomba tuwekee japo picha.Na ile ya Mikocheni??
Bado nasubiri jibu kujua kama Rais ndiye anayemhonga Mbowe!!
Tindo Ofisi za CHADEMA zilizojengwa kwa nguvu za wanachama ziko nyingi za kutosha tu. fanya utafiti.Ahaaa ahaa, imebidi nicheke sana, kwamba uwe na wanafunzi wengi, kisha hao wanafunzi ndio waje wajenge madarasa! Haya tuseme hao watu wameshakuwa wengi, je ofisi ziko wapi?
Kama wewe una ushahidi kwamba Freeman Mbowe anakula Ruzuku za CHADEMA ama yeye binafsi au uongozi mzima wa CHADEMA yeye akiwa mwenyekiti wake, walipewa rushwa na CCM ili waache harakati za kuipigania Tanganyika na Zanzibar, uuweke hapa ili watanzania wote wauone.
Sema kweli ama kaa Kimya!!
Hoja ya Mbowe kwenda Ikulu peke yake uliileta kuashiria kwamba huko ndiko inawezekana anakohongwa. Sasa nakuuliza jee Rais ndiye huwa anamhonga Mbowe??Hamna sehemu nimekuambia Rais anamuonga Mbowe nimeuliza kwa nimi IIkulu uwa anaenda peke yake? Ni jibu tu
Vyama karibia vyote vya siasa Kenya vimekuwa havimiliki ofisi zao kwa miaka mingi sana. Kwa sasa chama kikubwa chenye kumiliki ofisi ni ODM. UDA ya Ruto na Jubilee ya Uhuru Kenyatta wanakodi ofisi zao.Chama kikuu cha upinzani kimeazishwa mwaka 1992 kweli tuna ofisi ya kupanga ya room 3.
Ruzuku ya chama inafanya kazi gani?
Sasa wewe chawa wa jizi hatuwezi elewana. Mimi ni mzalendokumuelimisha "Chawa" ni kazi kiuhayawani.
KANU ofisi yao ilikuwa kwenye Jengo la Kenyatta International Conference Center na walipoingia NARC wakawafurusha KANU kwenye Jengo lile.Vyama karibia vyote vya siasa Kenya vimekuwa havimiliki ofisi zao kwa miaka mingi sana. Kwa sasa chama kikubwa chenye kumiliki ofisi ni ODM. UDA ya Ruto na Jubilee ya Uhuru Kenyatta wanakodi ofisi zao.