Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #61
Umeona nimejiita chawa ama wewe ndiyo unajiita chawa. Usitake wote tuwe chawa maana wengine tunajua kwamba chawa nje ya uchafu huwezi kumkuta.Sasa wewe chawa wa jizi hatuwezi elewana. Mimi ni mzalendo
Ukiona wewe unajiita chawa ujue ili maisha yako yaende ni lazima uwe kwenye uchafu.