Mwenye video ya Tundu Lissu akizungumzia namna ya kukuza uchumi wa nchi ailete

Mwenye video ya Tundu Lissu akizungumzia namna ya kukuza uchumi wa nchi ailete

Uchumi hauwezi kukuzwa na wezi, wala rushwa, malaya, machawa, machangudoa, wajinga nk.

Unahitaji watu na mfumo imara kuondoa hivyo vyote juu ndio ukuze uchumi, vinginevyo ni kupaka rangi upepo.
 
Lissu anadhani yuko kwenye darasa anafundisha sheria. Nje ya sheria Lissu ni mweupe kabisa.

Ukichanganya na vihotuba vyake vya kishankupe
 
Mwalimu anayekufundisha darasani, anasaidieje kuondoa umaskini wako?..... Use a brain kidogo
Kwa akili yako mpaka ataje neno "uchumi" ndipo ujue amezungumzia uchumi wewe unayotumia brain? Mara ngapi anazungumzia "rushwa" na matumizi mabaya ya madaraka na resources - ambayo essentially ni good governance, fair distribution and good management of resources? Sasa unahitaji uchumi gani beyond: good governance, fair distribution and good management of resources?
 
ma ya Lisu hazungumziagi namna ya kukuza uchumi, yeye ni siasa tu muda wote.

Miradi yote ya kukuza uchumi na kuongeza ajira anaitukana, ndani ya miezi 4 SGR imesafirisha abiria milioni 1 wakati Lisu aliita ni mradi uchwara!

Lisu afundishwa kuwa maisha ya mwanadamu siasa ni 20% na 80% uchumi.

Lisu anataka mshinde mkiongelea tu umasikini ila mkichukua hatua za kuondoa umasikini anapinga tena
Maendeleo hayaji kwa kuyazungumzia, ccm wameyazungumza kwa miaka 60,lakini mpaka Leo bado tunaomba msaada wa, kujengewa matundu ya vyoo!
Maendeleo yataqkuja siku majizi ya ccm kuanzia Ikulu, mpaka kwenye kata, yakitoka na kufungwa, Lisu anatufungua macho jinsi ya kufika huko,
Ma ccm ndio majina Yao yamepitishwa, lakini yanaona haya kufsnya kampeni, maaana, hakuna uchaguzi, ni wizi tu, na kutwjana
 
mihapase,
Hebu weka CV yako hapa na mimi niweke ya kwangu, halafu watu wataamua nani kati yangu na wewe ni mjinga. Kwa nini usijikite tu kwenye kujadili hoja mpaka umshambulie mchangiaji mwingine? Ulisoma shule gani hiyo ambayo haijakusaidia kuelimika, au ni wale mnaofanyiwa mitihani na research? Kwa hiyo, kwako wewe akishasema tu "uchumi" kwenye hotuba yako ndiyo umeongelea uchumi? Hoja yako ni sawa na wale wanaosema "wananchi hawahitaji Katiba mpya, wanahitaji maji na maendeleo." Yaani wanaona katika haihusiki na maji na maendeleo, kama wewe unavyoona "rushwa" haihusiani na uchumi. This means your concept of 'uchumi' is very narrow. Sasa usipodhibiti vitendo vya rushwa (corruption) unajenga uchumi wa aina gani huo? Taja nchi mojawapo ilitoendekea (yenye maendeleo makubwa), na muda huo huo Ina entertain vitendo vya rushwa. Labda tuanzie hapo
 
Hebu weka CV yako hapa na mimi niweke ya kwangu, halafu watu wataamua nani kati yangu na wewe ni mjinga. Kwa nini usijikite tu kwenye kujadili hoja mpaka umshambulie mchangiaji mwingine? Ulisoma shule gani hiyo ambayo haijakusaidia kuelimika, au ni wale mnaofanyiwa mitihani na research? Kwa hiyo, kwako wewe akishasema tu "uchumi" kwenye hotuba yako ndiyo umeongelea uchumi? Hoja yako ni sawa na wale wanaosema "wananchi hawahitaji Katiba mpya, wanahitaji maji na maendeleo." Yaani wanaona katika haihusiki na maji na maendeleo, kama wewe unavyoona "rushwa" haihusiani na uchumi. This means your concept of 'uchumi' is very narrow. Sasa usipodhibiti vitendo vya rushwa (corruption) unajenga uchumi wa aina gani huo? Taja nchi mojawapo iliyoendelea (yenye maendeleo makubwa), na wakati huo huo ina entertain vitendo vya rushwa. Labda tuanzie hapo.
Umetoa shule Bomba sana
 
Shida ya Lisu hazungumziagi namna ya kukuza uchumi, yeye ni siasa tu muda wote.

Miradi yote ya kukuza uchumi na kuongeza ajira anaitukana, ndani ya miezi 4 SGR imesafirisha abiria milioni 1 wakati Lisu aliita ni mradi uchwara!

Lisu afundishwa kuwa maisha ya mwanadamu siasa ni 20% na 80% uchumi.

Lisu anataka mshinde mkiongelea tu umasikini ila mkichukua hatua za kuondoa umasikini anapinga tena
Katika watu wapumbavu wewe ndiye kinara! Siasa inahusu maisha ya watu! Kama watu hawana uhuru, hawathaminiwi na hawapewi haki yao hawawezi kupata maendeleo ya kiuchumi. Siasa bora ni msingi wa maendeleo!
 
Shida ya Lisu hazungumziagi namna ya kukuza uchumi, yeye ni siasa tu muda wote.

Miradi yote ya kukuza uchumi na kuongeza ajira anaitukana, ndani ya miezi 4 SGR imesafirisha abiria milioni 1 wakati Lisu aliita ni mradi uchwara!

Lisu afundishwa kuwa maisha ya mwanadamu siasa ni 20% na 80% uchumi.

Lisu anataka mshinde mkiongelea tu umasikini ila mkichukua hatua za kuondoa umasikini anapinga tena
Kamwe haiwezi kutokea
 
Back
Top Bottom