Mwenyeketi wa CHADEMA Mkoa Asema walimpa Lissu Nafasi ya Kugombea Urais Kwa sababu Alikuwa anaweza kuropoka dhidi ya Hayati Magufuli Lakini hana uwezo

Mwenyeketi wa CHADEMA Mkoa Asema walimpa Lissu Nafasi ya Kugombea Urais Kwa sababu Alikuwa anaweza kuropoka dhidi ya Hayati Magufuli Lakini hana uwezo

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

CHADEMA wanaendelea kuvujisha siri za ndani kabisa. Bila shaka mpaka uchaguzi uishe kila kitu cha ndani na cha siri kitakuwa peupe kabisa .

Sasa katika muendelezo wa kutoa siri za ndani juu ya uwezo mdogo wa kiuongozi alionao Lissu Mwenyekiti Wa CHADEMA ngazi ya Mkoa Bwana Ntobi .

Amesema ya kuwa walimpatia Lissu nafasi ya kugombea Urais Mwaka 2020 kwa sababu alikuwa na Uwezo wa kuropoka dhidi ya Mgombea wa CCM Wa wakati Huo Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli.

Amesema ya kuwa lakini pamoja na kuwa walimpa nafasi hiyo ya kugombea Urais lakini walijua kuwa hana uwezo wa kuongoza wala kupanga haya mipango ya mtaa tu.na kwamba shughuli zote na mipango yote ingesimamiwa na chama.

Nadhani hapa wana CHADEMA wanajibu lile swali ambalo lilikuwa linaulizwa kuwa kwanini Lissu alisimamishwa kugombea Urais kwa niaba ya CHADEMA wakati hana uwezo wa kuongoza.

Kwa hakika CCM itaendelea kuongoza Taifa hili na kusalia madarakani mpaka Mwisho wa Dunia.Maana watanzania wamepata majibu kuwa upinzani husimamisha wagombea ambao hata wenyewe wanajua ya kuwa hawana uwezo wa kuongoza wala kupanga mipango hata ya mtaa tu.hivyo itakuwa ni ngumu sana kwa watanzania kupoteza muda wao kupanga foleni kuwapigia kura wagombea wa upinzani.badala yake wataendelea kuwapigia kura wagombea wa CCM tu Daima.
Screenshot_20241219-190341_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Moderator naomba mnirekebishie hapo kwenye kichwa cha andiko ili pasomeke Mwenyekiti badala ya Mwenyeketi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

CHADEMA wanaendelea kuvujisha siri za ndani kabisa. Bila shaka mpaka uchaguzi uishe kila kitu cha ndani na cha siri kitakuwa peupe kabisa .

Sasa katika muendelezo wa kutoa siri za ndani juu ya uwezo mdogo wa kiuongozi alionao Lissu Mwenyekiti Wa CHADEMA ngazi ya Mkoa Bwana Ntobi .

Amesema ya kuwa walimpatia Lissu nafasi ya kugombea Urais Mwaka 2020 kwa sababu alikuwa na Uwezo wa kuropoka dhidi ya Mgombea wa CCM Wa wakati Huo Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli.

Amesema ya kuwa lakini pamoja na kuwa walimpa nafasi hiyo ya kugombea Urais lakini walijua kuwa hana uwezo wa kuongoza wala kupanga haya mipango ya mtaa tu.na kwamba shughuli zote na mipango yote ingesimamiwa na chama.

Nadhani hapa wana CHADEMA wanajibu lile swali ambalo lilikuwa linaulizwa kuwa kwanini Lissu alisimamishwa kugombea Urais kwa niaba ya CHADEMA wakati hana uwezo wa kuongoza.View attachment 3180416

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Haahaa Kwa hoja hii chadema mtasubiri Sana kuongoza nchi😂😂
 
Ndugu zangu Watanzania,

CHADEMA wanaendelea kuvujisha siri za ndani kabisa. Bila shaka mpaka uchaguzi uishe kila kitu cha ndani na cha siri kitakuwa peupe kabisa .

Sasa katika muendelezo wa kutoa siri za ndani juu ya uwezo mdogo wa kiuongozi alionao Lissu Mwenyekiti Wa CHADEMA ngazi ya Mkoa Bwana Ntobi .

Amesema ya kuwa walimpatia Lissu nafasi ya kugombea Urais Mwaka 2020 kwa sababu alikuwa na Uwezo wa kuropoka dhidi ya Mgombea wa CCM Wa wakati Huo Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli.

Amesema ya kuwa lakini pamoja na kuwa walimpa nafasi hiyo ya kugombea Urais lakini walijua kuwa hana uwezo wa kuongoza wala kupanga haya mipango ya mtaa tu.na kwamba shughuli zote na mipango yote ingesimamiwa na chama.

Nadhani hapa wana CHADEMA wanajibu lile swali ambalo lilikuwa linaulizwa kuwa kwanini Lissu alisimamishwa kugombea Urais kwa niaba ya CHADEMA wakati hana uwezo wa kuongoza.View attachment 3180416

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbowe katika viongozi wengi sana wa chadema, sio Kanda wala mikoa.
 
Mbowe katika viongozi wengi sana wa chadema, sio Kanda wala mikoa.
Mbowe ni lazima atashinda uchaguzi huu kwa kishindo sana. Lakini pia tegemee kuona lissu akihama chama baada ya Kumalizika kwa uchaguzi na yeye kuwa ameangukia pua.
 
Ndugu zangu Watanzania,

CHADEMA wanaendelea kuvujisha siri za ndani kabisa. Bila shaka mpaka uchaguzi uishe kila kitu cha ndani na cha siri kitakuwa peupe kabisa .

Sasa katika muendelezo wa kutoa siri za ndani juu ya uwezo mdogo wa kiuongozi alionao Lissu Mwenyekiti Wa CHADEMA ngazi ya Mkoa Bwana Ntobi .

Amesema ya kuwa walimpatia Lissu nafasi ya kugombea Urais Mwaka 2020 kwa sababu alikuwa na Uwezo wa kuropoka dhidi ya Mgombea wa CCM Wa wakati Huo Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli.

Amesema ya kuwa lakini pamoja na kuwa walimpa nafasi hiyo ya kugombea Urais lakini walijua kuwa hana uwezo wa kuongoza wala kupanga haya mipango ya mtaa tu.na kwamba shughuli zote na mipango yote ingesimamiwa na chama.

Nadhani hapa wana CHADEMA wanajibu lile swali ambalo lilikuwa linaulizwa kuwa kwanini Lissu alisimamishwa kugombea Urais kwa niaba ya CHADEMA wakati hana uwezo wa kuongoza.View attachment 3180416

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hongereni sana CCM. Kwa hiki wanachokifanya Chadema mtatawala muda mrefu sana, yaani mpaka wananchi wachoke wenyewe.
 
..Shida moja kwa chadema Kila mtu kambale, Hivi kiongozi wa Kanda au mkoa kutoa kauli kama hii kwa kiongozi wa kitaifa kama makamu hatua Gani anachukiliwa?
Inaonyesha lissu anachukiwa sana ndani ya CHADEMA.si unaona anavyotupiwa matusi .uliona hata wakati wa uchukuaji na urejeshaji wa Fomu namna wapokeaji na watoaji wa Fomu walivyokuwa wamenuna?
 
Watatuhakikishia vipi huyo watakaemuweka safari hii ana UWEZO wa kuongoza NCHI?!

Hiki chama kina uwezo mdogo wa kuforecast siasa za nchi, siamini kama kina mipango madhubuti ya kutaka kuongoza NCHI.

Ukisikiliza viongozi waandamizi ni mapambio tu ya Mwenyekiti.

Nafikiri hawapo tayari kuongoza, bado wanahitaji kuongozwa ili ujengaji na ukosoaji wa hoja zao ndani ya chama uwe wenye malengo makubwa ya KIUONGOZI.

Pathetic!
 
Watatuhakikishia vipi huyo watakaemuweka safari hii ana UWEZO wa kuongoza NCHI?!

Hiki chama kina uwezo mdogo wa kuforecast siasa za nchi, siamini kama kina mipango madhubuti ya kutaka kuongoza NCHI.

Ukisikiliza viongozi waandamizi ni mapambio tu ya Mwenyekiti.

Nafikiri hawapo tayari kuongoza, bado wanahitaji kuongozwa ili ujengaji na ukosoaji wa hoja zao ndani ya chama uwe wenye malengo makubwa ya KIUONGOZI.

Pathetic!
Hawana mgombea mwenye uwezo wa kushindana na Rais Samia hapo Mwakani.watakachopigania kwa mwakani ni nafasi za ubunge na udiwani tu ili kuponya njaa zao.
 
CCM itatawala nchi hii mpaka mwisho wa Dunia
Nakuchukia sana na mabandiko yako ya kichawa ila kwa usawa huu CCM haina mpinzani. Mfupa uliomtoa jasho Magufuli naona Samia kaumumunya tu ukayeyuka. CDM now iko vipande vipande na haitakaa sawa kwa muda mrefu baada ya uchaguzi wa ndani. Ila ni jambo jema wameonyesha rangi zao halisi now.
 
Back
Top Bottom