M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Ibaki hivyohivyo MWENYEKETI.Moderator naomba mnirekebishie hapo kwenye kichwa cha andiko ili pasomeke Mwenyekiti badala ya Mwenyeketi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ibaki hivyohivyo MWENYEKETI.Moderator naomba mnirekebishie hapo kwenye kichwa cha andiko ili pasomeke Mwenyekiti badala ya Mwenyeketi.
Kwani hufahamu kuwa lissu hapendwi kabisa ndani ya CHADEMA? Kwa sasa lissu ni lazima atahama chama baada ya uchaguzi kuisha.Wakumbuke kuwa kuna CHADEMA hata baada ya Uchaguzi, wachunge sana kauili zao. Kwa kauli hii anamdhoofisha TAL au CHADEMA?
Wewe huwezi ukaelewa mwenye akili maana wewe mwenyewe huna akili kichwani mwako.Kwa taarifa yako Lissu ana uwezo mkubwa mara mia ya uwezo wa mama Abdul.
CCM pekee ndio yenye dhamira njema na Taifa letuJe hicho Chama kina Nia njema na taifa?
Anadhani anamkomoa Lisu kumbe anaonyesha dharau ya kiwango cha lami kwa wapiga kura. Anatukana zaidi ya watu milioni 4 waliompigia kura Lisu. Hawa wajinga walikua na haki ya KUSHINDWA kwenye uchaguzi wa s/mitaa. Mwakani pia wabunge na madiwani wapate 0.000000001 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndugu zangu Watanzania,
CHADEMA wanaendelea kuvujisha siri za ndani kabisa. Bila shaka mpaka uchaguzi uishe kila kitu cha ndani na cha siri kitakuwa peupe kabisa .
Sasa katika muendelezo wa kutoa siri za ndani juu ya uwezo mdogo wa kiuongozi alionao Lissu Mwenyekiti Wa CHADEMA ngazi ya Mkoa Bwana Ntobi .
Amesema ya kuwa walimpatia Lissu nafasi ya kugombea Urais Mwaka 2020 kwa sababu alikuwa na Uwezo wa kuropoka dhidi ya Mgombea wa CCM Wa wakati Huo Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli.
Amesema ya kuwa lakini pamoja na kuwa walimpa nafasi hiyo ya kugombea Urais lakini walijua kuwa hana uwezo wa kuongoza wala kupanga haya mipango ya mtaa tu.na kwamba shughuli zote na mipango yote ingesimamiwa na chama.
Nadhani hapa wana CHADEMA wanajibu lile swali ambalo lilikuwa linaulizwa kuwa kwanini Lissu alisimamishwa kugombea Urais kwa niaba ya CHADEMA wakati hana uwezo wa kuongoza.
Kwa hakika CCM itaendelea kuongoza Taifa hili na kusalia madarakani mpaka Mwisho wa Dunia.Maana watanzania wamepata majibu kuwa upinzani husimamisha wagombea ambao hata wenyewe wanajua ya kuwa hawana uwezo wa kuongoza wala kupanga mipango hata ya mtaa tu.hivyo itakuwa ni ngumu sana kwa watanzania kupoteza muda wao kupanga foleni kuwapigia kura wagombea wa upinzani.badala yake wataendelea kuwapigia kura wagombea wa CCM tu Daima.View attachment 3180416
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na kuwatukana wapiga kura waliompa kura mgombea wao.Kama amekosa maneno ya kusema kuhusu mgombea asiyemtaka, bora akae kimya. Namna hiyo ni kukivuruga chama chake.
Haahaa ni mbingu na ardhiKwa taarifa yako Lissu ana uwezo mkubwa mara mia ya uwezo wa mama Abdul.
Kaongea ukweli anaoufahamu yeye juu ya sababu ya kumpa lissu kugombea Urais.Sasa unaanzia wapi kumbishia?Kama amekosa maneno ya kusema kuhusu mgombea asiyemtaka, bora akae kimya. Namna hiyo ni kukivuruga chama chake.
Kwa lugha aliyotumia kwa ccm kamati ya maadili ingemuhusu, Kwa nn asijenge hoja za maana akaacha kejeli?Anadhani anamkomoa Lisu kumbe anaonyesha dharau ya kiwango cha lami kwa wapiga kura. Anatukana zaidi ya watu milioni 4 waliompigia kura Lisu. Hawa wajinga walikua na haki ya KUSHINDWA kwenye uchaguzi wa s/mitaa. Mwakani pia wabunge na madiwani wapate 0.000000001 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna ukweli hapo mkuu, kadhalilisha kamati kuu, Baraza kuu mpaka mkutano mkuu wa chademaKaongea ukweli anaoufahamu yeye juu ya sababu ya kumpa lissu kugombea Urais.Sasa unaanzia wapi kumbishia?
Haahaa ccm hii au nyengine?😂😂😂CCM pekee ndio yenye dhamira njema na Taifa letu
CCM hii hii iliyobeba matumaini ya mamilioni ya watanzaniaHaahaa ccm hii au nyengine?😂😂😂
Naomba ushahidi wa sauti ya Mbowe akisema kuwa anagombea uenyekiti wa CDM Taifa, tafadhali sana kama una japo chembe ya ubinadamu timamu.Mbowe ni lazima atashinda uchaguzi huu kwa kishindo sana. Lakini pia tegemee kuona lissu akihama chama baada ya Kumalizika kwa uchaguzi na yeye kuwa ameangukia pua.
Wewe ni John mlema?Ndugu zangu Watanzania,
CHADEMA wanaendelea kuvujisha siri za ndani kabisa. Bila shaka mpaka uchaguzi uishe kila kitu cha ndani na cha siri kitakuwa peupe kabisa .
Sasa katika muendelezo wa kutoa siri za ndani juu ya uwezo mdogo wa kiuongozi alionao Lissu Mwenyekiti Wa CHADEMA ngazi ya Mkoa Bwana Ntobi .
Amesema ya kuwa walimpatia Lissu nafasi ya kugombea Urais Mwaka 2020 kwa sababu alikuwa na Uwezo wa kuropoka dhidi ya Mgombea wa CCM Wa wakati Huo Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli.
Amesema ya kuwa lakini pamoja na kuwa walimpa nafasi hiyo ya kugombea Urais lakini walijua kuwa hana uwezo wa kuongoza wala kupanga haya mipango ya mtaa tu.na kwamba shughuli zote na mipango yote ingesimamiwa na chama.
Nadhani hapa wana CHADEMA wanajibu lile swali ambalo lilikuwa linaulizwa kuwa kwanini Lissu alisimamishwa kugombea Urais kwa niaba ya CHADEMA wakati hana uwezo wa kuongoza.
Kwa hakika CCM itaendelea kuongoza Taifa hili na kusalia madarakani mpaka Mwisho wa Dunia.Maana watanzania wamepata majibu kuwa upinzani husimamisha wagombea ambao hata wenyewe wanajua ya kuwa hawana uwezo wa kuongoza wala kupanga mipango hata ya mtaa tu.hivyo itakuwa ni ngumu sana kwa watanzania kupoteza muda wao kupanga foleni kuwapigia kura wagombea wa upinzani.badala yake wataendelea kuwapigia kura wagombea wa CCM tu Daima.View attachment 3180416
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kaa kwa kutulia subiri Mwamba atakapo unguruma kesho kutwaNaomba ushahidi wa sauti ya Mbowe akisema kuwa anagombea uenyekiti wa CDM Taifa, tafadhali sana kama una japo chembe ya ubinadamu timamu.
Kwani kusoma hujui?Wewe ni John mlema?
Amesema ya kuwa walimpatia Lissu nafasi ya kugombea Urais Mwaka 2020 kwa sababu alikuwa na Uwezo wa kuropoka dhidi ya Mgombea wa CCM Wa wakati Huo Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli.