Mwenyeketi wa CHADEMA Mkoa Asema walimpa Lissu Nafasi ya Kugombea Urais Kwa sababu Alikuwa anaweza kuropoka dhidi ya Hayati Magufuli Lakini hana uwezo

Amesema ya kuwa lakini pamoja na kuwa walimpa nafasi hiyo ya kugombea Urais lakini walijua kuwa hana uwezo wa kuongoza wala kupanga haya mipango ya mtaa tu.na kwamba shughuli zote na mipango yote ingesimamiwa na chama.
Ukiona mgombea anapingwa sana na machawa wa chama hasimu, ujue tu kuwa huyo ndo anafaa zaidi.

#TUNAENDAnaLISSU
 
Watamaliza uchaguzi wakiwa wamegawanyika sana na hawataweza kuyaponya na kuyatibu Majeraha na madonda ya uchaguzi .Wengi watahama CHADEMA na kuhamia CCM
 
Ukiona mgombea anapingwa sana na machawa wa chama hasimu, ujue tu kuwa huyo ndo anafaa zaidi.

#TUNAENDAnaLISSU
Kwani huyo naye ni CCM? Si ni mwenyekiti wa CHADEMA mkoa?si ndiye anasema lissu hana uwezo wa kupanga mipango hata ya mtaa?
 
mtu kama tundu lissu kupoteza muda wote kukitumikia chama cha kihuni ni hasara sana kwake.
Viongozi wenzake wanasema walimpa nafasi ya kugombea kwa sababu alikuwa na uwezo wa kuropoka sana lakini hana uwezo wa kupanga mipango hata ya mtaa tu.
 
Wakumbuke kuwa kuna CHADEMA hata baada ya Uchaguzi, wachunge sana kauili zao. Kwa kauli hii anamdhoofisha TAL au CHADEMA?
 
Viongozi wenzake wanasema walimpa nafasi ya kugombea kwa sababu alikuwa na uwezo wa kuropoka sana lakini hana uwezo wa kupanga mipango hata ya mtaa tu.
Achana na huo uzushi.
Pata madini hapa chini..
👇
 
Mwenyekiti wangu Taifa ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Ccm imejaa mapumbavu ndio maana toka uhuru hayajawahi kuchagua mwenyekiti wa chama.
 
mtu kama tundu lissu kupoteza muda wote kukitumikia chama cha kihuni ni hasara sana kwake.
Nilishamwambia siku nyingi kupitia hapa JF kuwa Lissu amezungukwa na wajinga ,na sisi wachagga huwa tuna usemi kuwa ukicheza na mjinga atakupaka mavi,na ndio hawa vilaza wa chadema wanafanya sasa dhidi ya Lissu.
 
Kwa taarifa yako Lissu ana uwezo mkubwa mara mia ya uwezo wa mama Abdul.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…