usiue ALBINO
Member
- Aug 14, 2023
- 73
- 66
Wachunge midomo yao hata kama wanalipa kodiKwani wapinzani siyo walipa kodi? wapinzani siyo watanzania?
Hivi watu wenye hizi mentality wanapataje uongozi? Huwa sielewi kabisa.
-Kaveli-
Yaani hiki kizazi kina laana.Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya akizungumza na Wanachama wa chama chake amenukuliwa akidai kuwa Katiba Mpya haiwezi kuwa na faida ya kuwaletea huduma ya maji...
kwamba maendele itategemea na chama kilichopo eneo husika? As if nao si watanzania? So pathetic kwakweliMwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya akizungumza na Wanachama wa chama chake amenukuliwa akidai kuwa Katiba Mpya haiwezi kuwa na faida ya kuwaletea huduma ya maji...
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha Thomas Ole Sabaya amewaonya wakazi wa Longido kutokuchagua wapinzani kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa, kwani serikali haitopeleka huduma muhimu kwenye maeneo yatakayokaliwa na viongozi wasiotokana na CCM.
Sabaya aliyekuwa akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Longido ametoa kauli hiyo muda mfupi, baada ya kufanyika kwa maandamano ya CHADEMA mkoani Arusha.
View attachment 2922327
Amesema yeyote atakayechaguliwa nje ya CCM atawajibika yeye na wananchi wake kujitafutia huduma muhimu na Mkuu wa mkoa hatokanyaga katika maeneo yenye kuongozwa na wapinzani.
Kauli ya Ole Sabaya imekuwa na hisia mseto mitandaoni,watumiaji wengi wa mtandao wa X (zamani twitter), wakisema kuwa rais Samia Suluhu Hassan hajaeleweka vyema na wasaidizi wake serikalini na ndani ya chama chake kutokana na kutoishi kwenye falsafa yake ya maridhiano.
Wengine pia akiwemo mwanasiasa John Heche anasema kauli kama hizo zinasababisha chuki zisizo na msingi kwenye jamii kwa kuaminisha watu kuwa watanzania walio nje ya CCM hawana haki kama walizonazo wanachama wa chama hicho tawala.
Rais Samia alitambulisha falsafa yake ya Maridhiano na upatanishi katika kujenga upya Tanzania tuitakayo, suala ambalo ndani yake linahimiza ushirikiano,ustahimilivu na kufanya kazi kwa pamoja na vyama pinzani katika kujitafutia maendeleo.
Yule Mwenyekiti wa CCM mkoa waTabora anazikwa lini?Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha Thomas Ole Sabaya amewaonya wakazi wa Longido kutokuchagua wapinzani kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa, kwani serikali haitopeleka huduma muhimu kwenye maeneo yatakayokaliwa na viongozi wasiotokana na CCM.
Sabaya aliyekuwa akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Longido ametoa kauli hiyo muda mfupi, baada ya kufanyika kwa maandamano ya CHADEMA mkoani Arusha.
View attachment 2922327
Amesema yeyote atakayechaguliwa nje ya CCM atawajibika yeye na wananchi wake kujitafutia huduma muhimu na Mkuu wa mkoa hatokanyaga katika maeneo yenye kuongozwa na wapinzani.
Kauli ya Ole Sabaya imekuwa na hisia mseto mitandaoni,watumiaji wengi wa mtandao wa X (zamani twitter), wakisema kuwa rais Samia Suluhu Hassan hajaeleweka vyema na wasaidizi wake serikalini na ndani ya chama chake kutokana na kutoishi kwenye falsafa yake ya maridhiano.
Wengine pia akiwemo mwanasiasa John Heche anasema kauli kama hizo zinasababisha chuki zisizo na msingi kwenye jamii kwa kuaminisha watu kuwa watanzania walio nje ya CCM hawana haki kama walizonazo wanachama wa chama hicho tawala.
Rais Samia alitambulisha falsafa yake ya Maridhiano na upatanishi katika kujenga upya Tanzania tuitakayo, suala ambalo ndani yake linahimiza ushirikiano,ustahimilivu na kufanya kazi kwa pamoja na vyama pinzani katika kujitafutia maendeleo.
Mjomba upo wapi? Alizikwa muda sana, toka mwezi uliopitaYule Mwenyekiti wa CCM mkoa waTabora anazikwa lini?
Huyu wa huko Arusha anangoja nini?Mjomba upo wapi? Alizikwa muda sana, toka mwezi uliopita
Amchukulie hatua huyo mzee anayeiga tabia za Magufuli kwenye zama hizi.Rais Samia sio mtu wa hivyo. Mtakie mama mema Kwa sababu ni mnyenyekevu sana
Kuchukua hatua kupo Kwa namna nyingi ,Kuna namna nyingine zinabaki siri lakini Kuna nyingine sio siri.Amchukulie hatua huyo mzee anayeiga tabia za Magufuli kwenye zama hizi.
ππ€πSijafurahishwa na kauli hiyo na hasa Kwa kuwa inatoa hukumu ya jumla badala ya hukumu Kwa mtu mmoja mmoja.
Falsafa za viongozi kuanzia wa alamu ya kwanza mpaka sasa ni kuhakikisha maendeleo ya watu yanapatikana bila kujalisha din zao, kabila zao au vyama vyama ila Leo umetumika ubaguzi wa uchama ambao ni hatari Kwa afya ya demokrasia na siasa safi.
Maamuzi ya wazazi yasiwe sababu ya watoto kuumia au kuumizwa. Kwa sababu Kwa Sheria za nchi yetu mtu aliye chini ya miaka 18 anatambuliwa kama mtoto hivyo Sheria ya uchaguzi pia imemkataza mtoto kutopiga kura.
Kwa mantiki hiyo, kauli ya Mwenyekiti sabaya inaweza kuwa ni chanzo Cha watoto kutopewa haki zao za msingi kama elimu Kwa sababu ya maamuzi ya upigaji kura ya wazazi wao. Tumeanza kuwabagua watu Kwa vyama vyao, tutakuja kuwabagua Kwa kabila zao na mwishowe Kwa dini zao. Hilo likemewe Kwa nguvu zote, Rais ameonesha dhamira ya dhati kabisa kuunganisha watu wote
Piga chini ili iwe fundisho kwa wapuuzi wengine wa aina hiyo.Kuchukua hatua kupo Kwa namna nyingi ,Kuna namna nyingine zinabaki siri lakini Kuna nyingine sio siri.
Namna ya kwanza, kuonywa. Hii inaweza kuwa siri ama likawa onyo la hadharani
Namna ya pili, kuwajibika. Hapa mhusika anapima upepo na akiona upepo ni mkali anaamua kuwajibika. Kuwajibika pia kupo Kwa namna mbili, kuomba radhi ama kujiuzulu.
Namna ya tatu , kuwajibishwa. Ikibainika kitendo hiko kina athari za Moja Kwa Moja basi Kwa maslahi mapana anawajibishwa.
Sasa nije kwako, unataka hatua ya namna gani ichukuliwe?
Jibu lako tayari ninalo ila nataka nisikie kutoka kwako
Baba na mwana!Huwenda ni mwdndawazimu