DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Aisee bado anafanya siasa za Awamu ya tano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabunge karibia wote ni ccm wanashindwa nini kupeleka maendeleoMwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya akizungumza na Wanachama wa chama chake amenukuliwa akidai kuwa Katiba Mpya haiwezi kuwa na faida ya kuwaletea huduma ya maji.
Kupitia video iliyotolewa na Mtandao wa Siasa za Bongo, amenukuliwa amesema “Katiba Mpya italeta maji hapa? Mnakuja kuleta uchafu tu, na sisi tutakaa hivihivi, tutaendana na wale wa chama chetu, wale mtakaoenda pembeni tuone Mkuu wa Mkoa aje akulete maji, (anageuka kumtazama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella) unajipenda Mkuu? Rais Samia atakukubali tena?”
Chanzo: Siasa za Bongo
Kwani Serikali ni Nani??View attachment 2922329
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha Thomas Ole Sabaya amewaonya wakazi wa Longido kutokuchagua wapinzani kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa, kwani serikali haitopeleka huduma muhimu kwenye maeneo yatakayokaliwa na viongozi wasiotokana na CCM.
Sabaya aliyekuwa akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Longido ametoa kauli hiyo muda mfupi, baada ya kufanyika kwa maandamano ya CHADEMA mkoani Arusha.
Amesema yeyote atakayechaguliwa nje ya CCM atawajibika yeye na wananchi wake kujitafutia huduma muhimu na Mkuu wa mkoa hatokanyaga katika maeneo yenye kuongozwa na wapinzani.
View attachment 2922330
Kauli ya Ole Sabaya imekuwa na hisia mseto mitandaoni,watumiaji wengi wa mtandao wa X (zamani twitter), wakisema kuwa rais Samia Suluhu Hassan hajaeleweka vyema na wasaidizi wake serikalini na ndani ya chama chake kutokana na kutoishi kwenye falsafa yake ya maridhiano.
Wengine pia akiwemo mwanasiasa John Heche anasema kauli kama hizo zinasababisha chuki zisizo na msingi kwenye jamii kwa kuaminisha watu kuwa watanzania walio nje ya CCM hawana haki kama walizonazo wanachama wa chama hicho tawala.
Rais Samia alitambulisha falsafa yake ya Maridhiano na upatanishi katika kujenga upya Tanzania tuitakayo, suala ambalo ndani yake linahimiza ushirikiano,ustahimilivu na kufanya kazi kwa pamoja na vyama pinzani katika kujitafutia maendeleo
MY TAKE
Angeongezea tu kwamba, Serikali haitokusanya kodi toka kwa wananchi wanaoishi maeneo yanayoongozwa na wapinzani. Hapo tutaelewana.
Inaonesha hauna uvumilivu na kukosekana uvumilivu ni hatari sana ndio maana Rais Kwa kutambua Hilo alipokuja na falsafa za 4R, R mojawapo ni Uvumilivu( Resilience).Piga chini ili iwe fundisho kwa wapuuzi wengine wa aina hiyo.
Kwani kuuliza hivyoKwani Serikali ni Nani??
Ulaya ipi na ya mwaka gani unayozungumzia?Afrika, Afrika.
Kauli kama hizi Ulaya unafunguliwa mashitaka na unafungwa.
Kweli mwafrika ni nyani aliyechangamka
Huu ndio uhaini halisi sasa.Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha Thomas Ole Sabaya amewaonya wakazi wa Longido kutokuchagua wapinzani kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa, kwani serikali haitopeleka huduma muhimu kwenye maeneo yatakayokaliwa na viongozi wasiotokana na CCM.
Sabaya aliyekuwa akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Longido ametoa kauli hiyo muda mfupi, baada ya kufanyika kwa maandamano ya CHADEMA mkoani Arusha.
View attachment 2922327
Amesema yeyote atakayechaguliwa nje ya CCM atawajibika yeye na wananchi wake kujitafutia huduma muhimu na Mkuu wa mkoa hatokanyaga katika maeneo yenye kuongozwa na wapinzani.
Kauli ya Ole Sabaya imekuwa na hisia mseto mitandaoni,watumiaji wengi wa mtandao wa X (zamani twitter), wakisema kuwa rais Samia Suluhu Hassan hajaeleweka vyema na wasaidizi wake serikalini na ndani ya chama chake kutokana na kutoishi kwenye falsafa yake ya maridhiano.
Wengine pia akiwemo mwanasiasa John Heche anasema kauli kama hizo zinasababisha chuki zisizo na msingi kwenye jamii kwa kuaminisha watu kuwa watanzania walio nje ya CCM hawana haki kama walizonazo wanachama wa chama hicho tawala.
Rais Samia alitambulisha falsafa yake ya Maridhiano na upatanishi katika kujenga upya Tanzania tuitakayo, suala ambalo ndani yake linahimiza ushirikiano,ustahimilivu na kufanya kazi kwa pamoja na vyama pinzani katika kujitafutia maendeleo.
Hivi huyo mzee ni mzima kweli ?Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya akizungumza na Wanachama wa chama chake amenukuliwa akidai kuwa Katiba Mpya haiwezi kuwa na faida ya kuwaletea huduma ya maji.
Kupitia video iliyotolewa na Mtandao wa Siasa za Bongo, amenukuliwa amesema “Katiba Mpya italeta maji hapa? Mnakuja kuleta uchafu tu, na sisi tutakaa hivihivi, tutaendana na wale wa chama chetu, wale mtakaoenda pembeni tuone Mkuu wa Mkoa aje akulete maji, (anageuka kumtazama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella) unajipenda Mkuu? Rais Samia atakukubali tena?”
Chanzo: Siasa za Bongo
Je ana akili timamu ?Kubwa jinga. Anawaza mambo ya chama 2024?. Yani Kodi tulipe wote ila maendeleo ni kwa wanaccm. Very stupid idiot
Huyo anaweweseka, je, kama mkoa mzima utachagua wapinzani ugeuke nchi huru?Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha Thomas Ole Sabaya amewaonya wakazi wa Longido kutokuchagua wapinzani kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa, kwani serikali haitopeleka huduma muhimu kwenye maeneo yatakayokaliwa na viongozi wasiotokana na CCM.
Sabaya aliyekuwa akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Longido ametoa kauli hiyo muda mfupi, baada ya kufanyika kwa maandamano ya CHADEMA mkoani Arusha.
View attachment 2922327
Amesema yeyote atakayechaguliwa nje ya CCM atawajibika yeye na wananchi wake kujitafutia huduma muhimu na Mkuu wa mkoa hatokanyaga katika maeneo yenye kuongozwa na wapinzani.
Kauli ya Ole Sabaya imekuwa na hisia mseto mitandaoni,watumiaji wengi wa mtandao wa X (zamani twitter), wakisema kuwa rais Samia Suluhu Hassan hajaeleweka vyema na wasaidizi wake serikalini na ndani ya chama chake kutokana na kutoishi kwenye falsafa yake ya maridhiano.
Wengine pia akiwemo mwanasiasa John Heche anasema kauli kama hizo zinasababisha chuki zisizo na msingi kwenye jamii kwa kuaminisha watu kuwa watanzania walio nje ya CCM hawana haki kama walizonazo wanachama wa chama hicho tawala.
Rais Samia alitambulisha falsafa yake ya Maridhiano na upatanishi katika kujenga upya Tanzania tuitakayo, suala ambalo ndani yake linahimiza ushirikiano,ustahimilivu na kufanya kazi kwa pamoja na vyama pinzani katika kujitafutia maendeleo.
Hizo lugha za huyo mzee hata Magufuli alikuwa anazitumia hadharani, na kweli aligoma kupeleka maendeleo sehemu za wapinzani, aidha kwa ufinyu wa bajeti, au kwa kusukumwa na huo utashi wake wa kisiasa.Inaonesha hauna uvumilivu na kukosekana uvumilivu ni hatari sana ndio maana Rais Kwa kutambua Hilo alipokuja na falsafa za 4R, R mojawapo ni Uvumilivu( Resilience).
Ndio maana napata shida sana kuamini upinzani unafaa kushika dola Kwa sababu Kuna kichaka kimeuficha upinzani na wakishika dola kichaka hicho kitaondolewa na kubaki na sura zao halisi ambazo naona ni za hatari sana.
Kusema kweli nami pia sijafurahishwa na kauli ya Mwenyekiti Sabaya lakini Hilo haliondoi ukweli ni kauli ya kisiasa tu ,Serikali makini haiwezi kuifuata hivyo kama ni kauli tu aliyetoa kauli hiyo anahitaji kuonywa ,kukaripiwa na kukemewa tu. Mwenyekiti wa CCM Mkoa ni mwanasiasa na kauli zake hazina utendaji wala maamuzi ,kama kauli hiyo ingetolewa na Mwenyekiti wa CCM Taifa hapo isingekuwa kauli ya kisiasa tu bali ni agizo ,ni amri na ni shuruti.
Kama Upinzani una mtazamo kama wako wa Kila anayetoa kauli anatakiwa kuadhibiwa Kwa adhabu Kali basi inatosha kusema kama siku upinzani wakishika dola magerezani wataenda wengi na uhuru wa kutoa maoni utadhibitiwa vilivyo
Tatizo wanajiamini mno.DaahHuyo akili zake bado zinadhani tuko kipindi cha mwendakulima.....
Hz lugha tlishazsikia huko nyuma, za kibaguzi. Katiba mpya = uchafu! Ndo mawazo ya mkuu wa Chama ktk hiyo ngazi! Wanachagliwaje!Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya akizungumza na Wanachama wa chama chake amenukuliwa akidai kuwa Katiba Mpya haiwezi kuwa na faida ya kuwaletea huduma ya maji.
Kupitia video iliyotolewa na Mtandao wa Siasa za Bongo, amenukuliwa amesema “Katiba Mpya italeta maji hapa? Mnakuja kuleta uchafu tu, na sisi tutakaa hivihivi, tutaendana na wale wa chama chetu, wale mtakaoenda pembeni tuone Mkuu wa Mkoa aje akulete maji, (anageuka kumtazama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella) unajipenda Mkuu? Rais Samia atakukubali tena?”
Chanzo: Siasa za Bongo