Pre GE2025 Mwenyekiti CCM Arusha (Baba yake Sabaya): Ukichagua upinzani serikali haitakuletea maji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Anataka kuturudisha nyuma huyu mzee.
 
mkoa wetu, hatuna hata mjumbe wa upinzani. Wote ni CCM lakini maisha bado magumu, barabara mbovu, maji hakuna tabu tupu.
 
Kila nikiirudia hii makala, najisikia kichefu chefu kweli kweli.haiwezekani nchi yetu iwe ya matamko kama haya.huu ni UCHOCHEZI
 
Thomas Ole Sabaya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha amesema Chama hicho kamwe hakitapeleka maendeleo na Huduma zingine za jamii kwenye maeneo ambayo Wapinzani watashinda kwani Kila chama kitekelezea Ilani ya chama Chao.

View: https://www.instagram.com/p/C4BY9OorIia/?igsh=MWlhbG56aGlwY3dlcA==
Mzee Sabaya ametoa hadhari hiyo huko Longido.

My Take
Ukitafakari Mzee Sabaya Yuko sawa maana huwezi chagua Chadema harafu udai maendeleo Kwa Ukweli Huwa unauma.

Hata hivyo Hii inge make sense kama tungekuwa na Serikali za Mikoa au Wilaya ambazo zinajitegemea ila Kwa muundo wa Sasa haitekelezeki.

Damu ya Mwendazake Pombe M Bado ipo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hii ni kutokana na eneo lenye upinzani hua na uhujumu wa makusudi wa miradi mikubwa na kupelekea hasara kwa taifa nafikiri
 
Like father like son.Mlitarajia nini kutoka kwa kinywa Cha akina sabaya?Ni yaleyale:Ubaguzi,utekaji,ubabe,jeuri dharau.Funy enough ,hawa ndio CCM inaona wanafaa kuongoza watanzania.Wanapewa Kila fursa na vyeo.
 
hii ni kutokana na eneo lenye upinzani hua na uhujumu wa makusudi wa miradi mikubwa na kupelekea hasara kwa taifa nafikiri
Sio uhujumu ni ukweli wa wazi.Yaani watu wachague Chadema harafu wakadai maendeleo ccm,hiyo inaingia akilini?
 
Mzee anatakiwa ajifunze kwa mwanae. Dunia hii haina ubia na mtu. Ikikukupa mgongo unaweza kutembea uchi
 
Hao ndio ccm sasa tunao wajua, kama wangekua hawaungi mkono hii kauli wangetoka hadharani kumkana na kumchukulia hatua kali za kisheria kwa sababu hii kauli ya kibaguzi Sana, lakini shida kubwa ni kwamba Watanzania hua hatujifunzi ndio maana ccm wanaongea na kufanya wanavyo penda wao,
 
Mbona alipingana na zile 4Rs za mwenyekiti wake taifa huy!
 
Sasa ameletewa Makonda, pembeni yuko Gambo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…