Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama cha MambumbumbuKweli kabisa Katibu wa Itikadi taifa aweza kutema pumba za aina hii?
Au Mwenyekiti wa chama wilaya kama Nyamagana iliyo katikati ya jiji kama Mwanza kuwa na upeo kama huu halafu mnamtuma kutetea mkataba Tata kama Bandari?
Mnavyofanya ni labda kuwadharau wananchi wenu kuwa ni mbumbumbu au CCM yenyewe haina uwezo wa kujitambua na hapo ndio mwisho wa uwezo wake.View attachment 2694945
AiseeWanaakisi akili za bosi wao!
Hata COVID-19 Sijui imewaachajeHuyu ni mzima kweli kichwani? CCM huwa inapata wapi watu wa namna hii? Hii nchi inahitaji overhaul kubwa sana. Huyu siku moja anakuja kuwa waziri, anakuja kuwa Rais kama ambavyo inatokea.
View attachment 2694993
FaizaFoxy Kuna ujumbe wako hukuWanaakisi akili za bosi wao!