Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kuongea na Taifa leo Jan 03, 2020 jioni


Itakuwa ni saa 1 kweli boss? Maana ilisemekana ni leo saa 6 mchana. Naona cdm wana lile tatizo la waafrika la kutokujali muda, na kubadili badili ratiba mara kwa mara. Tunategemea hotuba yenye nguvu za hoja kama ilivyo kawaida ya cdm.
 
Kumekucha !
 
Itakuwa ni saa 1 kweli boss? Maana ilisemekana ni leo saa 6 mchana. Naona cdm wana lile tatizo la waafrika la kutokujali muda, na kubadili badili ratiba mara kwa mara. Tunategemea hotuba yenye nguvu za hoja kama ilivyo kawaida ya cdm.
Ile ya saa sita mchana ilikuwa ya Mwenyekiti wa Bavicha na ameshamaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…