Mwenyekiti Mbowe, kweli Rais Samia amefanya mazuri ila sifa kwake zimezidi!

Mwenyekiti Mbowe, kweli Rais Samia amefanya mazuri ila sifa kwake zimezidi!

Amepoteza hii nafasi. Ametumia muda mrefu kuwakaripia viongozi wenzake wa Chadema kuliko kuikosoa CCM. Ametumia mrefu mno kulalamikia dhana kuwa amelamba asali kuliko kuwazungumzia wanachama wenzake ambao bado wako ndani. Mimi nilitegemea angetumia nafasi hii kuunganisha na kuwatia moyo wanachama wenzake lakini badala yake ametuonyesha kuwa kuna mpasuko ndani ya chama chake na hataki kukoselewa. Ameni disappoint sana. Angalau viongozi wenzake waliomtangulia walionyesha kuwa bado moto unawaka ndani ya matumbo yao.

Amandla...
Unaposema ametumia muda wake mwingi kuwakaripia viongozi wenzake wa Chadema, nakushangaa, kama wewe ukiona mtu anakusema kwa kitu ambacho hujafanya, mtu anaendeshwa na hisia zake binafsi kukuhukumu, na kukuchafua kwa wanachama wako, utakaa kimya? ajabu akijitetea ndio mnazidi kumuona mlamba asali, nyie mnataka akae kimya tu!.

Kwangu, alichofanya Mbowe ni sahihi kabisa, Lema na wenzake walitakiwa waje na uthibitisho wa vile Mbowe alilambishwa asali, lakini sio mtu upo Canada, kisa unaona mambo hayaendi vile ulivyozoea, ndio uanze kutengeneza hisia zako na kutoa shutuma kwa kiongozi wako, alikosea.

Mimi na wewe hatuwezi kujua secret behind ya kuruhusiwa hii mikutano ya siasa, lakini inawezekana kabisa, hekima na ukimya wa Mbowe, ndivyo vilichangia kumfanya Samia akubaliane nae, lakini kama mihemko ya kina Lema mnayoipenda ndio ingekuwa kwenye meza ya mazungumzo, basi pia inawezekana kabisa, mpaka leo mambo yangekuwa hayaeleweki...

Mbowe amejua kucheza na akili ya Samia na kushinda mchezo, tuliona vile ukimuendea Samia kwa mihemko nini atakufanya, - ukinipara nakuparua -, mwishowe Mbowe akaenda jela kwa kesi ya kutengenezewa, na hakuna mwanachama wala mpenzi yeyote wa Chadema, aliyefanya chochote ili kumtoa Mbowe gerezani, wakati mwingine acheni akili zifanye kazi, sio maguvu kila wakati!.
 
Nani kampa mkt POMBE?😠😠😠

Mchele kilo 3000, amepata wapi pesa ya kwenda kulewea?
Kuna mtu kaandaliwa ku shine pande hizo Ili akabidhiwe uenyekiti wa Chama!!!

Mbowe anajiandaa kupoteza umaarufu wake ili anayetakiwa a shine!!KWA SANA!!!!Ili apate uenyekiti halafu apewe alichoahidiwa na serikali ya CCM!

"KAZI YAKO ni nzuri Sana,wakati wa kupumzika umefika, uwaziri mkuu unakufaa kama hongera ya kazi kubwae ulioifanya KWA miaka mingi Sana"!

"Sasa punguza siasa za uanaharakati "

KILA mmoja ana haki ya fikra Huru!
 
si amesema kuwa viongozi wake walisema kuwa amelamba asali, na amesema hayo yameisha tusonge mbele!wake
Tukiombee chama,

Kinapitia wakati mgumu,ambapo Kwa uongozi wa CCM ulivyo dhaifu, CDM ingetakiwa iwe inapeta tu!!!

Chama na viongozi wake wakae wayamalize,

Naamini mikutano ijayo hawatotuangusha.

Ameeen
 
Unaposema ametumia muda wake mwingi kuwakaripia viongozi wenzake wa Chadema, nakushangaa, kama wewe ukiona mtu anakusema kwa kitu ambacho hujafanya, mtu anaendeshwa na hisia zake binafsi kukuhumu, na kukuchafua kwa wanachama wako utakaa kimya?

Kwangu, alichofanya Mbowe ni sahihi kabisa, Lema na wenzake walitakiwa waje na uthibitisho wa vile Mbowe alilambishwa asali, lakini sio mtu upo Canada, kisa unaona mambo hayaendi vile ulivyozoea, ndio uanze kutengeneza hisia zako na kutoa shutuma kwa kiongozi wako, alikosea.

Mimi na wewe hatuwezi kujua secret behind ya kuruhusiwa hii mikutano ya siasa, lakini inawezekana kabisa, hekima na ukimya wa Mbowe, ndivyo vilichangia kumfanya Samia akubaliane nae, lakini kama mihemko ya kina Lema mnayoipenda ndio ingekuwa kwenye meza ya mazungumzo, basi inawezekana kabisa, mpaka leo mambo yangekuwa hayaeleweki.

Mbowe amejua kucheza na akili ya Samia na kushinda mchezo, tuliona vile ukimuendea Samia kwa mihemko nini atakufanya, - ukinipara nakuparua -, mwishowe Mbowe akaenda jela kwa kesi ya kutengenezewa, na hakuna mwanachama wala mpenzi yeyote wa Chadema, aliyefanya chochote kumtoa Mbowe gerezani.
Safi sana madini matupu.tatizo watu hawajui hivi vitu
 
Angeenda bila kulewa asingekuwa huru kuyataja mazuri ya Mama Samia. Kafanya vyema sana. Inahitaji kujitoa ufahamu kwanza mbele ya BAVICHA ili uweze kuzungumzia mazuri ya CCM. Mbowe ni mtaalamu wa siasa za nchi hii.
 
Angeenda bila kulewa asingekuwa huru kuyataja mazuri ya Mama Samia. Kafanya vyema sana. Inahitaji kujitoa ufahamu kwanza mbele ya BAVICHA ili uweze kuzungumzia mazuri ya CCM. Mbowe ni mtaalamu wa siasa za nchi hii.
Hiyo pombe mlikuwa nae kilabuni?

Nyie jamaa mnaanza zile propaganda za CCM, kukodisha watu wakampiga na kumvunja mguu, wakasingizia alikuwa amelewa, huku mpaka leo polisi wako kimya kutoa taarifa yao kuhusu lile tukio.
 
Mbowe amejua kucheza na akili ya Samia na kushinda mchezo, tuliona vile ukimuendea Samia kwa mihemko nini atakufanya, - ukinipara nakuparua -, mwishowe Mbowe akaenda jela kwa kesi ya kutengenezewa, na hakuna mwanachama wala mpenzi yeyote wa Chadema, aliyefanya chochote ili kumtoa Mbowe gerezani, wakati mwingine acheni akili zifanye kazi, sio maguvu kila wakati!.
Mbowe ameshakuwa compromised....Ile kesi imewekwa kiporo ili kumdhibiti.

JokaKuu zitto junior
 
Hiyo pombe mlikuwa nae kilabuni?

Nyie jamaa mnaanza zile propaganda za CCM, kukodisha watu wakampiga na kumvunja mguu, wakasingizia alikuwa amelewa, huku mpaka leo polisi wako kimya kutoa taarifa yao kuhusu lile tukio.
Mimi nimetoka mkoa hadi furahisha mwanza kuja kuona chama changu lakini nimefedheheshwa sana
 
"Mbowe kuwa compromised"

Hayo maneno ni hisia tupu, kama una ushahidi weka hapa tuuone, nimewaonesha Mbowe alivyocheza mchezo kwa akili, ajabu mnakomaa na hisia za kina Lema tu!
Hakuna akili yeyote pale, kwa Sasa ni 'trojan horse' ya Utawala na ile kesi imechangia hili.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]hizi sound zipo nyingi..
Sio sound mkuu. Ona iyo pic bado nipo eneo la tukio na hapa wanafungua jukwaa
IMG_20230121_190951_981.jpg
 
Back
Top Bottom