denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Kusema hakuna akili yoyote pale wakati alichokitaka Mbowe kimefanikiwa, ni zaidi ya ujinga.Hakuna akili yeyote pale, kwa Sasa ni 'trojan horse' ya Utawala na ile kesi imechangia hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusema hakuna akili yoyote pale wakati alichokitaka Mbowe kimefanikiwa, ni zaidi ya ujinga.Hakuna akili yeyote pale, kwa Sasa ni 'trojan horse' ya Utawala na ile kesi imechangia hili.
Yaani mwamba Hajasema Neno lolote linalogusa maisha ya Wananchi zaidi yakusifia watawala. Leo hii mbowe anawaambia Wananchi walipongeze jeshi la police[emoji848][emoji848]Mbowe analazimisha chama kiende mrengo wake. Lissu na Heche ndio wanafaa kushika gurudumu. Kulikuwa na mengi ya kusema , mfumuko wa Bei, Deni la taifa.
Kiwanga kazungumzia maumivu ya wakina mama. Pambalu kazungumzia maumivu ya vijana na kukumbusha kuwa bado kuna watu wao wengi wako ndani. Kuna waliozungumzia deni, kuna waliozungumzia waliotangulia mbele ya haki, kuna waliozungumzia maumivu waliyopata katika miaka hii ya zuio la mikutano. Mwenyekiti alitakiwa kujenga kwenye msingi walioweka waliomtangulia.Mbowe analazimisha chama kiende mrengo wake. Lissu na Heche ndio wanafaa kushika gurudumu. Kulikuwa na mengi ya kusema , mfumuko wa Bei, Deni la taifa.
Mbowe analazimisha chama kiende mrengo wake. Lissu na Heche ndio wanafaa kushika gurudumu. Kulikuwa na mengi ya kusema , mfumuko wa Bei, Deni la taifa.
- Unaposema hapakuwa mahali pake, sijui unataka pawe wapi pengine?, hii ni sawa na kumfunga mdomo Mbowe ashambuliwe tu na kukaa kimya, kwangu sio sawa.Hapa hapakuwa mahali pake. Huu ni mkutano wa kwanza na angeweza kuutumia kusherehekea matunda ya juhudi zake bila kuwakaripia wanachama na viongozi wenzake ambao hawakukubaliana nae. Hii kuonyesha kukasirishwa sana na maneno ya baadhi ya wanachama imewaonyesha wapi udhaifu wake upo.
Mimi sijawahi kumsikia kiongozi mkuu yeyote wa CDM akimshutumu kuwa amelamba. Hata hivyo ni haki yao kuhoji gharama ya maridhiano hayo. Huyo Lema unaemsema nae amepitia magumu sana katika haya mapambano. Ingawa sio wote waliopoteza mabilioni kama alivyoteza Mbowe wako ambao kwa kiasi fulani wamepoteza kuliko yeye. Watu kama Heche aliyempoteza mdogo wake, watu kama Lissu aliyenusurika kupoteza maisha yake na vijana na wanachama wengi ambao wameumizwa, wamepoteza vibiashara vyao na wengine wametiwa ndani bila kuwa na uhakika wa kutoka mapema kwa sababu hawana majina kama Mbowe.
Unamsema Lema na wenzake na kumpa sifa Mbowe peke yake bila kujiuliza kama CCM wangekubali kuridhia kama pasingekuwa na sauti za wazi za wakina Lema kuwa hawana imani nao kabisa. Mbowe aliongezewa nguvu na uwepo wa wakina Lema kwa sababu CCM walijua dhati kuwa muafaka ungekuwa mgumu kupatikana kama Mbowe angesusa na wangebaki wakina Lema a Antipas. Ni kama vile Martin Luther King Jr. alisaidiwa sana na uwepo wa Malcolm X ambae hakutaka kabisa mazungumzo na mtu mweupe.
Mbowe anataka kuonekana kama Statesman lakini bila street fighters kama Lema, Lissu hata Mdude Chadema ari ya kuzungumza nae ingepungua.
Leo ilikuwa ni siku ya Chadema lakini yeye ameigeuza kwa kiasi fulani kuwa ya CCM. Hamna mtu anaemkataza kumshukuru Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa CCM. Ni jambo la busara kwa kweli. Lakini hapakuwa na haja ya kuwatupa wenzake chini ya basi.
Amandla...
Nahisi Mwenyekiti kuhutubia akiwa CHAKALI ina maanisha kuvaa miwani ya mbao kufisha tuhuma za yeye kulamba asali.Angeenda bila kulewa asingekuwa huru kuyataja mazuri ya Mama Samia. Kafanya vyema sana. Inahitaji kujitoa ufahamu kwanza mbele ya BAVICHA ili uweze kuzungumzia mazuri ya CCM. Mbowe ni mtaalamu wa siasa za nchi hii.
Huo ndio ukubwa. Hata Lissu walimshutumu mengi alipokutana na Rais Ubelgiji na kueleza wazi kuwa ameahidiwa kulipwa madai yake. Mbowe ni Mwenyekiti na alipaswa kumalizana na viongozi wenzake kwenye vikao vyao vya ndani. Hapa palikuwa mahali pa kuthibitisha umoja wa chama chake na utayari wake wa kumpambania mtanzania. Si mahali pa kujibishana na vijana wa kwenye mitandao (ambao inawezekana wengine ni wa upande wa pili na nia yao ilikuwa ni kuleta ufa). Njia pekee ya kuthibitisha kuwa yeye hakulamba asali ni kuonyesha kwa vitendo kuwa ari yake ya kupigania haki iko pale pale. Watu wanaingia wasiwasi wanapomuona amekuwa kimya sana na anapoibuka ni kummwagia sifa Mwenyekiti wa chama pinzani. Wenzake wanazungumzia ugumu wa maisha yeye anasifia kukua kwa uchumi! Kwa kweli amekua tone deaf.Unaposema hapakuwa mahali pake, sijui unataka pawe wapi pengine?, hii ni sawa na kumfunga mdomo Mbowe ashambuliwe tu na kukaa kimya, hii sio sawa.
Kupata nafasi ya kujitetea na kuacha kufanya hivyo hakuwezi kuwa ukubwa, ni mtazamo wako mwingine hasi tu, usiingilie maamuzi ya Mbowe, huo ni udikteta, hata kama akiwa kiongozi, coz hakuna anayeingilia yako.Huo ndio ukubwa. Hata Lissu walimshutumu mengi alipokutana na Rais Ubelgiji na kueleza wazi kuwa ameahidiwa kulipwa madai yake. Mbowe ni Mwenyekiti na alipaswa kumalizana na viongozi wenzake kwenye vikao vyao vya ndani. Hapa palikuwa mahali pa kuthibitisha umoja wa chama chake na utayari wake wa kumpambania mtanzania. Si mahali pa kujibishana na vijana wa kwenye mitandao (ambao inawezekana wengine ni wa upande wa pili na nia yao ilikuwa ni kuleta ufa). Njia pekee ya kuthibitisha kuwa yeye hakulamba asali ni kuonyesha kwa vitendo kuwa ari yake ya kupigania haki iko pale pale. Watu wanaingia wasiwasi wanapomuona amekuwa kimya sana na anapoibuka ni kummwagia sifa Mwenyekiti wa chama pinzani. Wenzake wanazungumzia ugumu wa maisha yeye anasifia kukua kwa uchumi! Kwa kweli amekua tone deaf.
Amandla...
Kufutiwa kesi sio mchezoMbowe safi kabisa, ila ujue tu CHADEMA wenzako unaowaongoza watakuchukia, sababu walitaka utukane, utoe maneno makali ya kumkashifu Mh. Rais Samia etc, hongera Mh. Mbowe
Hakuanza leo kujitetea. Hata Washington ilikuwa hivyo hivyo. Another lost opportunity.Kupata nafasi ya kujitetea na kuacha kufanya hivyo hakuwezi kuwa ukubwa, ni mtazamo wako mwingine hasi t, usiingilie maamuzi ya Mbowe, hata kaa akiwa kiongozi, coz hakuna anayeingilia yako.
Tunaelekezana I know, usiogope!.Hakuanza leo kujitetea. Hata Washington ilikuwa hivyo hivyo. Another lost opportunity.
Lakini hatugombani. Ni mtazamo wangu. Sio lazima ukubaliane nao.
Amandla...
Unadhani nakuogopa?Tunaelekezana I know, usiogope!.
Mtazamo hauwezi kujenga chuki.
"Huenda"Ile kesi ya kupika ilitumika vizuri sana kummaliza na unayoyaona huenda ni masharti ya maridhiano kwamba kuna mipaka imewekwa ni marufuku kuvuka.......poor Mbowe....Poor Tz democracy...[emoji17][emoji17][emoji17].
denooJ zitto junior
Nani kampa mkt POMBE?[emoji34][emoji34][emoji34]
Mchele kilo 3000, amepata wapi pesa ya kwenda kulewea?
Mwamba ana hangover ya maridhiano au anajaribu kucheza ndani ya mistari aliyochorewa na wenye nchi kumbuka ile kesi ya mchongo bado file lipo.Yaani mwamba Hajasema Neno lolote linalogusa maisha ya Wananchi zaidi yakusifia watawala. Leo hii mbowe anawaambia Wananchi walipongeze jeshi la police[emoji848][emoji848]