Ulishawahi kuwasikia hao wanaotembeleana wa CCM kuwa waliwahi tukanana na kudhalilishana kama ambavyo Lisu alimfanyia Mbowe? Hao hawajawahiMbona mama samia huwa anamtembelea Mzee jk?
Mbona Rais mwinyi uwa anamtembelea Mzee Amani?
Hayo ni mambo ya kawaida Tu
Jambo wakifanya ccm ni Sawa ila wakifanya upinzani ni makosa
hivi ile bullet proof vest siku hizi havai tena?Amebaki anazurula zurula tu bila kuelewa hata afanye nini. Nilishasema kuwa lissu hawezi kuongoza zaidi ya kuongozwa . Familia tu Imemshinda kuiongoza. Ni vipi sasa ataweza kuiongoza CHADEMA???????
kwa matusi yale chadema , eti jamaa anapanga kwenda kumsabahi mwenyekiti wa zamani nyumbani kweke,Ulishawahi kuwasikia hao wanaotembeleana wa CCM kuwa waliwahi tukanana na kudhalilishana kama ambavyo Lisu alimfanyia Mbowe? Hao hawajawahi
Lisu ki.ukweli alienda beyond red line kumdhalilisha Mbowe
Inaposemwa siasa sio uadui maana yake siasa inatakiwa kutofautiana kimawazo lakini sio kudhalilishana kama maafui kams ambavyo Lisu alimfanyia MboweSIASA SIO UADUI GENTLEMEN !
Lisu anatakiwa kupewa nishani ya unafiki uliokubuhukwa matusi yale chadema , eti jamaa anapanga kwenda kumsabahi mwenyekiti wa zamani nyumbani kweke,
huo si ndio unafiki huo jamani?π
HahahahaaRelax mama Ima,
kushindwa uchaguzi ndio Demokrasia, utagombea tena uchaguzi mwingine ili ushindwe vizur zaidi akili ikukae sawa π
Hapo Lazima Mashushushu yatumwe yakachunguze Ndugai ana sumu gani kwa sasa.Wasira anakutana na Ndugai Jmosi. Watajadili, pamoja na mambo mengine, uchaguzi mkuu wa mwaka huu na deni la taifa linaloongezeka kwa kasi ya kutisha.
Uchonganishi ni dhambi mbaya Sana.Ni ziara kwenda kumuhadaa, kumkejeli na kumkashifu mwenyekiti huyo wa zamani, lakini pia huenda ikawa ni ziara kuchochea na kuzidisha kutwezana utu kama ambavyo kulifanyika kabla ya uchaguzi na kuzidisha migawanyiko na mpasuko zaid baada ya uchaguzi.
Dhihaka zinazotolewa na wasaidizi wa mwenyekiti mpya dhidi ya wa zamani, mathalani kwa kutokuwepo sherehe ya makabidhiaona ya ofisi, ni wazi zina baraka za mwenyekiti huyo mpya wa CHADEMA Taifa.
Wasaidizi hao wamefikia hatua hadi ya kusingizia kwamba mwenyekiti wa zamani kaondoka na kung'ang'ana na baadhi ya asset mbalimbali za chadema, kitu ambacho si kweli, lakini wanaona haitoshi, wanapanga kwenda kumdhihaki mpaka nyumbani kwake na familia yake.
Hii sio dalili nzuri hata kidogo, bali ni dalili ya kushindwa uongozi mapema hata kabla hali ya uhasama, vita vya maneno na uadui miongoni mwa zilizokua kambi za uchaguzi wakati wa uchaguzi wa chadema Taifa hazijatulia na kufanya maridhiano..
Ni kwa kiasi gani unaridhishwa na uongozi mpya wa upande moja wa chadema mpka sasa?π
Mungu Ibariki Tanzania
Alimdharirisha upande upi? Hebu mtuache chademaUlishawahi kuwasikia hao wanaotembeleana wa CCM kuwa waliwahi tukanana na kudhalilishana kama ambavyo Lisu alimfanyia Mbowe? Hao hawajawahi
Lisu ki.ukweli alienda beyond red line kumdhalilisha Mbowe
Lisu sehemu anayoweza hata kuonekana ni akiwa chini ya mtu mwingineAmebaki anazurula zurula tu bila kuelewa hata afanye nini. Nilishasema kuwa lissu hawezi kuongoza zaidi ya kuongozwa . Familia tu Imemshinda kuiongoza. Ni vipi sasa ataweza kuiongoza CHADEMA???????
Sio kama hapo kwenu hamwachiani maji ya kunywa mezani licha ya kutembeleana nyumbani.Ni ziara kwenda kumuhadaa, kumkejeli na kumkashifu mwenyekiti huyo wa zamani, lakini pia huenda ikawa ni ziara kuchochea na kuzidisha kutwezana utu kama ambavyo kulifanyika kabla ya uchaguzi na kuzidisha migawanyiko na mpasuko zaid baada ya uchaguzi.
Dhihaka zinazotolewa na wasaidizi wa mwenyekiti mpya dhidi ya wa zamani, mathalani kwa kutokuwepo sherehe ya makabidhiaona ya ofisi, ni wazi zina baraka za mwenyekiti huyo mpya wa CHADEMA Taifa.
Wasaidizi hao wamefikia hatua hadi ya kusingizia kwamba mwenyekiti wa zamani kaondoka na kung'ang'ana na baadhi ya asset mbalimbali za chadema, kitu ambacho si kweli, lakini wanaona haitoshi, wanapanga kwenda kumdhihaki mpaka nyumbani kwake na familia yake.
Hii sio dalili nzuri hata kidogo, bali ni dalili ya kushindwa uongozi mapema hata kabla hali ya uhasama, vita vya maneno na uadui miongoni mwa zilizokua kambi za uchaguzi wakati wa uchaguzi wa chadema Taifa hazijatulia na kufanya maridhiano..
Ni kwa kiasi gani unaridhishwa na uongozi mpya wa upande moja wa chadema mpka sasa?π
Mungu Ibariki Tanzania
Chukua wa hapo kwenu,kwani wa huku hata hautauweza.Lisu sehemu anayoweza hata kuonekana ni akiwa chini ya mtu mwingine
Huo uenyekiti hauwezi kabisa na hatauweza hana akili wala uwezo wa hicho cheo
Hicho cheo kwake ni oversize
Muda siyo mrefu ataanza kutembea kifua wazi. Maana kwa sasa amechanganyikiwa kabisa . Uenyekiti wa CHADEMA siyo sawa na kupiga porojo kwenye Maria Space na kudanganyana na kujazana ujinga jinga tu.hivi ile bullet proof vest siku hizi havai tena?
chairman wa zamani kadingiziwa mambo mengi sana aise
Kama cdm ilifanya uchaguzi wa haki,huru na wa wazi haya mawazo yako yanatoka wapi? Kwani ktk hao wawili kuna alielalamikia matokeo? Ni hivi uchaguzi uliofanywa ni wa wanachama sio Lisu wala Mbowe,yawapasa mgange yajayoNi ziara kwenda kumuhadaa, kumkejeli na kumkashifu mwenyekiti huyo wa zamani, lakini pia huenda ikawa ni ziara kuchochea na kuzidisha kutwezana utu kama ambavyo kulifanyika kabla ya uchaguzi na kuzidisha migawanyiko na mpasuko zaid baada ya uchaguzi.
Dhihaka zinazotolewa na wasaidizi wa mwenyekiti mpya dhidi ya wa zamani, mathalani kwa kutokuwepo sherehe ya makabidhiaona ya ofisi, ni wazi zina baraka za mwenyekiti huyo mpya wa CHADEMA Taifa.
Wasaidizi hao wamefikia hatua hadi ya kusingizia kwamba mwenyekiti wa zamani kaondoka na kung'ang'ana na baadhi ya asset mbalimbali za chadema, kitu ambacho si kweli, lakini wanaona haitoshi, wanapanga kwenda kumdhihaki mpaka nyumbani kwake na familia yake.
Hii sio dalili nzuri hata kidogo, bali ni dalili ya kushindwa uongozi mapema hata kabla hali ya uhasama, vita vya maneno na uadui miongoni mwa zilizokua kambi za uchaguzi wakati wa uchaguzi wa chadema Taifa hazijatulia na kufanya maridhiano..
Ni kwa kiasi gani unaridhishwa na uongozi mpya wa upande moja wa chadema mpka sasa?π
Mungu Ibariki Tanzania
Mimi naamini Lissu na Mbowe bado ni kitu kimoja !Inaposemwa siasa sio uadui maana yake siasa inatakiwa kutofautiana kimawazo lakini sio kudhalilishana kama maafui kams ambavyo Lisu alimfanyia Mbowe
Ule aliofanya Lisu ni uadui mkubwa sio siasa ile kabisa.Nakataa looo.Haungulii kabisa kwenye hiyo tafsiri ya siasa sio uadui
Mzee Mbowe alidhalilishwa na Lisu jamani acha tu
Kutukana na kudhalilisha mtu sio mtizamo aiseeMimi naamini Lissu na Mbowe bado ni kitu kimoja !
Yale yalikuwa ni mapito tu ya tofauti za mitazamo !
Lakini wale bado ni kitu kimoja kilicho kamilika π³
Mark my words na uweke akiba ya maneno πππ