Ngoja nikusaide kumwita Pascal Mayalla njoo huku unaitwa utoe nenopascal Mayala uliwahi kuzungumzia soulmate, unaweza kutoa neno hapa?
Labda yeye alijua kuwa Mr R.M hatakufa!Kwa hiyo ukiota ndiyo ndoto inatokea JF, tumuombee kwa Mungu amlaze mahali pema peponi
Amefariki kuamkia leo usiku...Magazeti yanachspishwa jioniNdo hapo mkuu na mm nashangaa, hata gazet la nipashe la leo halijaandika hiyo habar