Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujifunze kusamehe na kutowasema wasioweza kujitetea(MAITI/Marehemu).tumuombe mungu atupe mwisho mwema sote.Huyu mzee aliniudhi wakati wa campaign za 2000 alivyokuwa akirusha vipindi kuonyesha mauaji ya Rwanda eti tukichagua vyama vingi tutakuwa kama Rwanda. Nadhani alifanya hivyo ili aendelee bila kufuatiliwa na watawala.
Duuh watu mshawaza mbaliUchumi ulio taabani plus kifo hiki cha huyu tajiri ambae ni mlipa kodi mkubwa na pia mwajiri mkubwa,ni janga lingine linakuja unless watakaorithi watamudu kuendesha biashara alizoacha yakiwemo makampuni,n.k.
Ama kweli kamba hukatikia pabovu!
Yaani kuna comment inabidi ucheke hakuna namna 😀😀😀😀pumzika kwa amani Mengi.Watu wa hivi ndo hawafagi mapema...yani jiwe kwa maneno yake ya Jana hapo kaongezewa 10 yrs za bonus.
Ndo hivo, ni simple Sana kuwa mjane siku hiziJamani Klyn ni mjane
Mjane tajiriJamani Klyn ni mjane
Boss baadhi ya watu wanadai ni ITV imeriport ila sina uhakika
Hata ukijua ugonjwa au sababu nyingine ya kifo ewew unafaidika na nn!?kimsingi Habari imethibitishwa kuwa Ni kweli kafariki hayo mengine Ni Siri ya familia zao boss.Ndio matatizo ya kuzoea kuandika habari za udaku
Mzee Mengi kafa R.I.P
Lakini cause ni nini? Hakuna kitu kinachokera kwenye habari kama pale unapoachwa ujazie mwenyewe.
Was it stroke
Alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa muda mrefu
Or what exactly is the cause
Ugonjwa wa mtu ni siri yake..sio lazima tujueNdio matatizo ya kuzoea kuandika habari za udaku
Mzee Mengi kafa R.I.P
Lakini cause ni nini? Hakuna kitu kinachokera kwenye habari kama pale unapoachwa ujazie mwenyewe.
Was it stroke
Alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa muda mrefu
Or what exactly is the cause
TBC nao bado wamenyamazaHuyu jamaa bwana,sasa kila mtu akinyamaza taarifa zitapatikanaje?
Hebu fafanua hapo kwenye bold please😳😳Dah, bint mdogo ameshakuwa mjane
Hakuna hajuae kesho yake,,
Kifo ni mawaidha uwe tajiri au maskini haijarishi ni mgonjwa au mzima
hii ni sawa na ule msiba wa mbonde, mbonde alikufa na mshipa wake[emoji849]
Mzee mengi amekufa na pesa anayo kifo ohh kifo ¶kifo hakina uruma kifo ni kiboko yao...