Pelle mza
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 3,050
- 1,694
Nani, Februari MaropeYule anayeandikia waraka kwa marehemu , tunamsuburia amwandikie na huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani, Februari MaropeYule anayeandikia waraka kwa marehemu , tunamsuburia amwandikie na huyu
Mkuu hapo penye red nenda ukafanye toba,usiandike maneno kwa hisia ukamkufuru Mungu.Aliyekuambia wote waliondoka ni wema ni nani?Wewe unayajua maisha yao kuliko Mungu aliyewaumba?Kila mwanadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu haijalishi yukoje,ndiyo maana kifo hakichagui.Nakushauri wewe na hao mashetani wenzako(kwani kwa kinywa chako mwenyewe umejiita shetani) mpokee Yesu afanyike kuwa Bwana na mwokozi wenu,yaondolewe mashetani yaliyo ndani yenu ili muwe salama.Watu wema wanaondoka,tumebaki "sisi" mashetani!May the soul of our beloved Reginald Abraham Mengi rest in peace!
ngoja nianze kumsumbua kule twita,..
Ni fursa kwa vijana hiyo kutumbuwa pesa ya mzee, K Lyn hii ndio ilikuwa target yske kuu, mirathi.
Noma sanamiezi hii ya karibuni ukimuangalia tu ilikuwa inaonyesha afya yake si njema
Labbda mpaka CNN na BBC ndiyo angeamini.Ulitaka upate uhakika wapi??
What.....???!!!!!Mission completed,
Meet Ruge and prince Muro owner..
R.i.p
Inakuwaje mnatoa talaka kirahisi!Rest In Peace mzee, kweli ndoa iliyofungwa na Mungu binadamu hawezi kuivunja. Umemfuata mke wako.
Hii ni lini?Mungu atusaidie, alikuwa amempokea Yesu na ameokoka, Yesu ni mwokozi, na matajiri wengine igeni mfano wa Mengi kuokoka, hata Klyn naye anampenda Yesu