TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

ITV coverage yao kwenye hili tukio la kupokea huu mwili ukilinganisha la lile la kupokea mwili wa Ruge, CLOUDS walifanya coverage nzuri sana, hawa super brand matangazo yanakatika kila dakika..
 
57585165_2242764772706188_8434939749404434858_n.jpg
58468771_400714527440257_3735786974072982563_n.jpg
 
Ni swali zuri sana Diana.Biblia katika Yohana 9:31 inasema hivi,
“Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watu wenye dhambi." Na pia
katika Isaya 59:2 tunaona maandiko haya: “But your iniquities have separated you from your God; your sins have hidden His face from you, so that He will not hear” (Isaiah 59:2).So ni kweli kwamba Mungu hawasijilizi wenye dhambi.Sasa swali lako ni kwamba hivi wapo watu ambao hawana dhambi?Jibu ni ndio,ila ni wale tu ambao wamemkiri Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao.Hawa wanasamehewa dhambi zao kwa kuwa Bwana Yesu alizichujuwa alipowambwa msalabani.Hawa ni watakatifu kwa kuwa utakatifu walio nao si wao,ila ni wa Bwana Yesu mwenyewe,so Mungu anapowaangalia hawaoni wao,ila anamuona Bwana Yesu ambaye wamemkiri kwamba amechukua dhambi zao msalabani.Wewe kama hujamkiri Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako Mungu anakuona wewe na dhambi zako!Mkiri Bwana Yesu leo Diana ili usamehewe dhambi zako na Mungu akuone kwamba ni mtakatifu wake.
Na Mimi Ni Miongoni mwao tuliompokea Bwana Wetu Yesu Kristo tukitukuza Ufufuko wake mpaka atakaporudi.

Tunamuombea Marehemu Reginald Mengi Mungu amrehemu amfikishe kwake.
 
Kuna watu watakumbukwa kwa kuingiza watu mpirani bure! Wakitutoka hatuna walichotuachia zaidi ya familia zao kuhamia ulaya au Canada.

MENGI, unastahili sifa za uhai wako.
Jizungumzie wewe utakumbukwa kwa lipi
 
Na Mimi Ni Miongoni mwao tuliompokea Bwana Wetu Yesu Kristo tukitukuza Ufufuko wake mpaka atakaporudi.

Tunamuombea Marehemu Reginald Mengi Mungu amrehemu amfikishe kwake.
"Tunamuombea Marehemu Reginald Mengi Mungu amrehemu amfikishe kwake." Nipe maandiko yanayo prove kwamba your statement in red is possible,maana mihemko haisaidii sana katika mambo ya kiroho.Tunakwenda by spiritual facts,sio mihemko.
 
"Tunamuombea Marehemu Reginald Mengi Mungu amrehemu amfikishe kwake." Nipe maandiko yanayo prove kwamba your statement in red is possible,maana mihemko haisaidii sana katika mambo ya kiroho.Tunakwenda by spiritual facts,sio mihemko.


Roho Mtakatifu Kanifundisha.
 
Acha kupotosha
Logic yako ya kuwa Mungu hasikilizi maombi ya wenye dhambi si kweli

Hiyo ni sawa na kusema Mungu hasikilizi maombi ya mtu yoyote

Kwa maana Yesu mwenyewe anasema mahali fulan "wote tumefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu "

Mahali pengine anasema "Mtakatifu ni mmoja tu "
Brother nimekuelewa ni Warumi 3:23 na hii Inatokana na rehema zake Mungu. rehema ni huruma , fadhili ,Upendo unaotoka kwa Mungu ingawa binadamu wametenda dhambi. Ndiyo pale inaposemwa tunaishi kwa rehema za Mungu. Lakini huruma ya Mungu mwisho wake ni wakati wa hukumu. Ndiyo hapo Brother Areafiftyone anaposema binadamu maamuzi ni yako unataka kwenda wapi baada ya kuondoka duniani kutokana na ulivyoishi kulingana na scripture ( neno la Mungu). Binadamu akishakufa hakuna second chance . Kufa ni mara moja na baada ya kufa ni hukumu
 
Acha kupotosha
Logic yako ya kuwa Mungu hasikilizi maombi ya wenye dhambi si kweli

Hiyo ni sawa na kusema Mungu hasikilizi maombi ya mtu yoyote

Kwa maana Yesu mwenyewe anasema mahali fulan "wote tumefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu "

Mahali pengine anasema "Mtakatifu ni mmoja tu "
Mkuu hapo penye red naomba nikusahihishe hakuna sehemu maandiko yanasema mtakatifu ni mmoja tu,naamini ulikuwa unarefer Marko 10:17-18,pale Yesu alisema hakuna aliye mwema ila mmoja tu.
Kwa suala la utakatifu Mungu mwenyewe amesema "iweni watakatifu kwa sababu mimi Mungu wenu ni mtakatifu ( 1 Petro 1: 15-16 )na kuna andiko jingine linasema "tafuteni kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu ambao bila huo hakuna hawezaye kumwona Bwana(Waebrania 12:14."
Suala la Mungu hasikilizi maombi ya wenye dhambi ni somo pana,tatizo tukitaka kufanya mambo makubwa yawe madogo tutapotosha watu.Kwa wale ambao hamjampokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wenu fanyeni maamuzi muda huu,kisha mtafundishwa mafunzo kwa ajili ya kuwajenga.Katika makanisa mengi ay kipentekoste huwa kuna shule za jumapili utafundishwa na kuuliza maswali yako.
Hiki ni kipindi cha mavuno,Yesu yu karibu kurudi tegemeeni watu wengi watakufa Bwana anavuna na shetani naye anavuna,suala la utaenda kwenye ufalme upi kwa Mungu au kwa shetani liko mikononi mwako only ukiwa bado uko hai.hata hapo ulipo unajijua wewe ni wa ufalme upi kwani maisha yako na matendo yako yanakushuhudia utaenda wapi.Hakuna maombi ya kuwatoa watu kuzimu kwenda mbinguni hayo ni mapokeao ya wanadamu na siyo mafundisho ya biblia.
Maisha ni kuchanguia,ndugu yetu Dr.Mengi amemaliza kipindi chake cha hapa duniani,nimebaki mimi na wewe.Fanya maamuzi leo,mpokee Yesu afanyike kuwa Bwana na mwokozi wako ili hata ukifa hiki kifo cha kwanza hakuna shida kwani utaishi lakini kama ukifa uko dhambini jehanamu inakusubili na baadaye ziwa la moto ambayo ni mauti ya pili.
Unahitaji ushauri wa mambo ya kiroho njoo inbox unamaswali yanakutatiza njoo inbox.
 
Kwenye huu msiba Ole Sendeka ameshiriki vyema kama sehemu ya familia..Honhera sana kwake.
 
Hivi DSM leo Lutheran hawajamfanyia ibada ya misa marehemu Mengi? Ninaamini watakuwa wanasoma mitandaoni pia. Kama hawakusoma sijui wale Lutheran wa Moshi i.e Kaskazini? Wakisoma basi ukweli siku hizi dini itakuwa inanunuliwa na wenye pesa.
 
Back
Top Bottom