Wanaume tutakubali? Tuwaulize wavaa kubazi!
Naona kila idara nyeti ikienda kushikwa na UWT chamani na serikalini na Hilo ndilo anguko kuu.
GENTAMYCIME umeona mbali sana! Uwezo wa Sophy bado mwishowe atahamaki wakati wa maswali magumu ya tran na trat! Na hapo Kuna watu wataopt plan A ya Jiwe! Funngia mana wanakosoa bila staha!
Siasa Ina staha ni Ibada? Kama ni mwizi acha uitwe mwizi kama ni mazembe acha uitwe mzembe kama ni fisadi vile vile, kama ni mdini na mkabila vile vile kama ni mbaguzi vile vile! Kama hujitambui Hivyo Hivyo kama Sio mqajibikaji vivuo Hiyo! Haya yote wataiya matusi! Na kusahau Hayati Ben aliwaita chadema malofa na wao wakashangilia na kukenua meno! Huku Hayati JKN aliwaita wanasiasa Wa Namna flani "malaya malaya wanaofanya mambo ya kipumbavu" wakakenua! JPM aliwafananisha washindani wake na magunzi ukiyaweka kwenye torch na battery hayawaki!
Kuna watu watapewa kesi za kudhalilisha mwanamke just wait and see!