Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 752
- 320
Tatizo la ccm ni kokololo wanaokota Kila kilcho mbele Yao ukute huyu SI mtanzania alikimbia genocide huko Rwanda anakuja kulianzisha Tena nchini kwetu.Wao wanawapangia polisi nini cha kufanya? Hawajui mipaka yao? Kumlinda rais si kazi yao, kuna vyombo vya usalama nchini.
Kumlinda kisiasa wanaweza pambana kwa hoja lakin si kufikia mahali ku commit sucha act otherwise na wao wakianza kupotezwa wasililie mahali. Tunatengeneza bomu mbeleni
Halafu utashangaa dishi kama hili linapewa Mkoa kwa kufanya kazi nzuri yakutetea chamaSOURCE WASAFI TV
Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Kagera wametoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao kumtukana na kumbeza Rais Samia pamoja na wasaidizi wake kuwa muda wao kuendelea kufanya hivyo sasa umekwisha.
Onyo hilo limetolewa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhan wakati wa ziara yake wilayani Ngara alipokutana na viongozi pamoja na wananchi katika mamlaka ya mji mdogo wa Rulenge Aprili 16, Mwaka huu.
Amesema kuwa kumekuwepo na tabia ya watu wanaotumia mitandao kumchafua Rais Samia pamoja na viongozi wengi huku wengine wakiwa ni miongoni mwa viongozi wa CCM ambapo amelitaka jeshi la polisi kutowatafuta watu hao pindi watakapopotezwa.
Pia soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
UVCCM ni jeshi la akiba linawajibika kwa mwenyekiti wa chama.SOURCE WASAFI TV
Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Kagera wametoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao kumtukana na kumbeza Rais Samia pamoja na wasaidizi wake kuwa muda wao kuendelea kufanya hivyo sasa umekwisha.
Onyo hilo limetolewa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhan wakati wa ziara yake wilayani Ngara alipokutana na viongozi pamoja na wananchi katika mamlaka ya mji mdogo wa Rulenge Aprili 16, Mwaka huu.
Amesema kuwa kumekuwepo na tabia ya watu wanaotumia mitandao kumchafua Rais Samia pamoja na viongozi wengi huku wengine wakiwa ni miongoni mwa viongozi wa CCM ambapo amelitaka jeshi la polisi kutowatafuta watu hao pindi watakapopotezwa.
Pia soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
UWT mbona mnapenda matusi sn?Tatizo lako una ubishi wa kingese. Kuna nchi haina rushwa yaani 0%?
Huo ndiyo ukweli wenyewe.Kuna mtu aliniambia dirisha la udahili wa TISS ni UVCCM sasa nakutana na kauli hii nimeanza kuamini.
[emoji7]Wao wanawapangia polisi nini cha kufanya? Hawajui mipaka yao? Kumlinda rais si kazi yao, kuna vyombo vya usalama nchini.
Kumlinda kisiasa wanaweza pambana kwa hoja lakin si kufikia mahali ku commit sucha act otherwise na wao wakianza kupotezwa wasililie mahali. Tunatengeneza bomu mbeleni
[emoji7][emoji7]Akemewe mara moja, hana mandate hiyo. Viko vyombo vya usalama. Yeye bi uvccm amabki kwenye siasa. Otherwise litainuka kundi la kumaliza ccm ndipo tutatengeneza vita vya wenyewe kwa wenyewe. Afunge domo lake mara moja
[emoji7]Tatizo lako una ubishi wa kingese. Kuna nchi haina rushwa yaani 0%?
Huyu sio kijana hata kisura huyu hakosi 47+Huyu Mwenyekiti wa UVCCM Kagera unaweza kuta ni mtu mzima ana 45+ na anatokea nchi ya jirani(Rwanda) maana watanzania hatuna roho mbaya hivyo
CCM hata kama una miaka 57 wewe ni kijana mradi unasaidia kuiba mali za ummaHuyu sio kijana hata kisura huyu hakosi 47+
'Interehamwe'Apunguze kujikomba Kwa viongozi wa kuu wa chama Aina hii ya viongozi ndiyo wanafanya wapinzani wanakipiga mawe chama . Ni kweli Uvccm na jumuiya zingine ziko na wajibu wa kukitetea chama katika hali zozote na viongozi wake lakini si Kwa kukuza Mambo huku wafanyavyo wazee wa fursa, uchochoro aliouchonga Raisi Samia wa Chawaz inekuwa ni shida kubwa kwa ustawi wa CCM na nchi Kwa ujumla imefika wakati hata mahali pa kulekebisha mambo nako wengine wanaleta upuuzi wa kutetea.
c.c Nchimbi:
Fagia virusi hivyo ili chama kuweze simama vizuri na kujilekebisha.
Kauli ametoa mwanaCCM tena bila ya kutumwa na chama inakuwaje unakishambulia chama ilihali msemaji wake si huyo UVCCM....Tatizo la ccm ni kololo wanaokota Kila kilcho mbele Yao ukute huyu SI mtanzania alikimbia genocide huko Rwanda anakuja kulianzisha Tena nchini kwetu.
Hapana sisi si jeshi mkuu...UVCCM ni jeshi la akiba linawajibika kwa mwenyekiti wa chama.
[emoji7][emoji7]Hii sio hoja ya mwenyekiti wetu kwamba wapinzani wapotweze
Hueleweki mkuu umesema diwani sasa asome vipi uzi wakati uzi haumhusu huyo diwani?Soma uzi wote.
Agent-principal RelationshipKauli ametoa mwanaCCM tena bila ya kutumwa na chama inakuwaje unakishambulia chama ilihali msemaji wake si huyo UVCCM....
Pambaneni wenyewe kwa wenyewe...!!!! Makonda kasema wengine ni mawaziri, nendeni kwake akawape list ya majina and then mkawapoteze mmoja baada ya mwingine..!!UVCCM mjitafakari. Hizi siasa za kupotezana sio maono ya mwenyekiti Mama Samia. Mama hana siasa za kipumbavu kama hizi.
TUKIWAPOTEZA WANAOMTUKANA RAIS SAMIA POLISI MSIWATAFUTE
Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Kagera wametoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao kumtukana na kumbeza Rais Samia pamoja na wasaidizi wake kuwa muda wao kuendelea kufanya hivyo sasa umekwisha.
Onyo hilo limetolewa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhan wakati wa ziara yake wilayani Ngara alipokutana na viongozi pamoja na wananchi katika mamlaka ya mji mdogo wa Rulenge Aprili 16, Mwaka huu.
Amesema kuwa kumekuwepo na tabia ya watu wanaotumia mitandao kumchafua Rais Samia pamoja na viongozi wengi huku wengine wakiwa ni miongoni mwa viongozi wa CCM ambapo amelitaka jeshi la polisi kutowatafuta watu hao pindi watakapopotezwa.
@sirallawi
#WasafiDigital