NTWA MWIKEMO
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 734
- 366
Nimecheka Saaana, hivi wale Walimu, Mafiasa Kilimo kumbe nao ni maofisa wa usalama duuuuu . Ngumbe wapo Wengi. Ila hao jamaaa walianzia Wapi mbona ni Wakazi na wanaishi PembaDuniani hakunaga uchaguzi wa haki....upo uchaguzi huru!