TANZIA Mwenyekiti wa Baraza la wadhamini CHADEMA, Arcado Ntagazwa afariki dunia

TANZIA Mwenyekiti wa Baraza la wadhamini CHADEMA, Arcado Ntagazwa afariki dunia

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Arcado.jpg

Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kwa masikitiko makubwa kinatangaza kifo cha Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chama, Mhe. Dennis Arcado Ntagazwa, kilichotokea asubuhi, Jumatano, Februari 10, mwaka huu katika Hospitali ya Mlonganzila, alikokuwa amelazwa kwa matibabu.

Zaidi. soma: Thomas: Baba yangu Arcado Ntagazwa, alikuwa akisumbuliwa na tatizo la changamoto ya kupumua na alipata matibabu mbalimbali

IMG-20210210-WA0030.jpg
 
Malaika WA Mbinguni na watakatifu wote Mbinguni wamlaki na kuufurahia utukufu wa Mungu Mbinguni. RIP mzee wetu.
 
Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona

Wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya
 
Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona

wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya una kichwa kama cha corona
Nimekuelewa sana mkuu!
 
Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona

wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya
Chadema hawafichagi! Msome vizuri amesema taarifa zaidi zinakuja hivi punde. Kama ni Korona watasema tu hawana utamaduni wa kuficha ukweli; ili iweje? Just wait. Apumzike kwa amani Mzee Ntagazwa; mwendo ameumaliza, demokrasia ameitetea - Mola ampe pumziko la amani.
 
Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona

wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya
Wanafiki wataifa hili wanajulikana na ndio wanaoli angamiza taifa.
 
Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona

wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya
Sasa matusi yote ya nini? kaleta taarifa za msiba unatoa conclussion aisee kuna members mnatisha! Labda ungeuliza tu je kasikia au kaambiwa?
 
Tafadhali tusianze tu Kusingizia kuwa Popo wa Kichina kutoka Jimbo la Wuhan ndiyo wamehusika Kumpumzisha milele hivi bali tuamini na tujue tu kuwa ni Kazi yake Mola / Maulana.

RIP Kwake Nguli na Pole nyingi kwa Wanafamilia na wana CHADEMA wote pia kwa Kuondokewa na moja ya Nguzo yao Kuu Kiushauri na Kimalezi pia.
 
Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona

wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya
Una akili timamu wewe?
 
Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona

wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya
Yaani unaleta siasa mpaka msibani, vumilia kidogo tumstiri marehemu turumbane tena kwa hoja madhubuti.
 
Back
Top Bottom