Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,308
- 21,507
Haya Shangilieni na nyinyi Afro Shiraz.Akifa wa CCM mnashangilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya Shangilieni na nyinyi Afro Shiraz.Akifa wa CCM mnashangilia.
nina akili kukuzidi mimi nilifanya Mensa Test ya kupima IQ natambuliwa kimataifa kwa IQ kubwaUna akili timamu wewe?
Mkuu ni kweli huyu hana akili timamu kabisaa.Una akili timamu wewe?
Roporoponina akili kukuzidi mimi nilifanya Mensa Test ya kupima IQ natambuliwa kimataifa kwa IQ kubwa
katest kama akili unazo na IQ test ni bure tu andika google Mensa Test itakuja utaifanya online na majibu watakupa hapo hapo ukimaliza kujibu utajua kama wewe una akili au bwege ingia hata sasa hivi upimwe IQ yako
Umeelewa maana ya "Taarifa zaidi kuwajia"?Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya
Umeambiwa taarifa zaidi utapewa hivi punde hivo subiriMleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya
Ukweli mtupu 100%Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya
ingia www.mensa.org kafanye mtihani kukupima kama una IQ kubwa sababu mtu aweza kuwa profesa lakini ana IQ ndogo kakariri tu masomoUna akili timamu wewe?
Fedha haiwezi kuwa na thamani kuliko ndugu yetu - hakufariki ili tutajirike - fanyakazi huko ndiko utapata kulingana na jasho lako.poleni ila iundwe kamati ya msiba itakayoshirikisha ndugu na viongozi wa Chadema ila muwe makini michango yote ndugu ndio mpokee kuanzia chama kinachangia nini.Na muwke wazi kuwa chama kimevhangia hiki na hiki vinginevyo mtapigwa pesa watu watakula pesa kwa mgongo wa marehemu ya Ndesamburo yasijirudie tafadhali
Udini, ukabila na uvyama, havina Maana katika matukio kama haya, matukio ambayo utake usitake Lazima ufe, Haina Afya hata kidogo kuendeleza utani usio na tijaMleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya una kichwa kama cha corona
Huyu si alikuwa Waziri kwenye moja ya awamu huko nyuma!!!Apumzike kwa amani
View attachment 1699030
Amekuwa pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema .
Taarifa zaidi zitawajia hivi punde....
Ni kweliHuyu si alikuwa Waziri kwenye moja ya awamu huko nyuma!!!