IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Kwa mujibu wa mashabiki wa chadema kila anaekufa sasa hivi ni corona. Kwa hiyo hata huyo corona imemuondoaMleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
Wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya