Mwenyekiti wa Baraza la Wazee CHADEMA, Mkoa wa Mbeya asema CHADEMA imejaa watu wenye roho mbaya, asema uchaguzi wa chama umejaa rushwa ya kutisha

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee CHADEMA, Mkoa wa Mbeya asema CHADEMA imejaa watu wenye roho mbaya, asema uchaguzi wa chama umejaa rushwa ya kutisha

Ukiona moshi, usidhani uko Mkoa wa Kilimanjaro, wakati mwingine ni moto unawaka chini kwa chini.

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema Mkoa wa Mbeya amekiri kwamba uchaguzi ndani ya chama umejaa rushwa ya kiwango cha kutisha, kiasi kwamba aliamua ajiondoe kuogombea uenyekiti wa chama mkoa wa Mbeya.

Ameendelea kusema kwamba chama hicho kimejaa watu wenye roho mbaya sana kuliko hata CCM.

Full video, tembelea youtube page ya Jambo
View attachment 2984542
malaika wanaparuana wenyewe, kibaraka alianzisha na wengine wanafuata :pedroP:
 
Kwa mana hio hawa CDM wakishika nchi rushwa itatawala ?
Mbona una majibu halafu unauliza swali tena😂😂😂👌🏾

Itakuwa hatari na nusu mazeee.

Iringa na mbeya unasikia-"Mabilionea" wachukua fomu. Unategemea nini? Rushwa!
 
Hii inaonesha demokrasia ndani ya CHADEMA inaimarika na chama kukua. Chama kisicho na kashi kashi ni chama mfu kama vilivyo vile 11 vilivyolaani CHADEMA juzi kwa kauli ya Tundu Lisu

Ndani ya ndoa tu wanakuwa wawili na wanapisha itakuwa CHADEMA yenye mamilioni ya wanachama?

Kwanza watu kama huyu alielalamika wasingekuwepo CHADEMA ingebidi tushangae na kuogopa kuwa chama kinakufa.
 
Hakuna upinzani pale...... Kwa mizania ya kisasa Chadema hawana upinzani wowote ule...
 
Ukiona moshi, usidhani uko Mkoa wa Kilimanjaro, wakati mwingine ni moto unawaka chini kwa chini.

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema Mkoa wa Mbeya amekiri kwamba uchaguzi ndani ya chama umejaa rushwa ya kiwango cha kutisha, kiasi kwamba aliamua ajiondoe kuogombea uenyekiti wa chama mkoa wa Mbeya.

Ameendelea kusema kwamba chama hicho kimejaa watu wenye roho mbaya sana kuliko hata CCM.

Full video, tembelea youtube page ya Jambo
View attachment 2984542
Haya.
 
Back
Top Bottom