Kwani hakuna faini?? Mbona story haiko kamili?Mwenyekiti wa Bawacha Rorya ambaye jana alihudhuria kongamano la Chadema leo amehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja.
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe yuko ziarani mkoani Mara.
Taarifa rasmi itawajia punde.
Kazi Iendelee!
Najua nitakwenda ila sijawahi kupandisha mabega kama hao watu MATAGA mliowafanya waamini hawatokufaNa wewe utakwenda tu hata ufanyeje.
Aisee upo? Mi nilifikiri umepona yale magonjwa yako kumbe ulipata nafuu tu na yakarudi tena.Kazi iendelee.
Angefungwa zaidi ya mwaka mmoja huyo kamanda uchwara. Aisee bado nipo.Aisee upo? Mi nilifikiri umepona yale magonjwa yako kumbe ulipata nafuu tu na yakarudi tena.
Hamna cha kupandisha mabega wala nini utakufa tu.Najua nitakwenda ila sijawahi kupandisha mabega kama hao watu MATAGA mliowafanya waamini hawatokufa
Lakini amelipa faini ya laki mbili Mr. Magonjwa. Ila nakushauri jaribu kidoooogo kuchuja mada za kuchangia. Sometimes itakuja kukusaidia hata uzeeni kama sio wajukuu zako. (Maombolezo 5:7)Angefungwa zaidi ya mwaka mmoja huyo kamanda uchwara. Aisee bado nipo.
wa jamiiforums 😁😁Huyu mzee ni mbea sn msamehe bure, labda Mbowe ni Jaji Mkuu
Pole MATAGA leo hii ndio mmekubali kuna kufa eh!?Hamna cha kupandisha mabega wala nini utakufa tu.
Hahahaaaa.......!Mzee mgaya wa
wa jamiiforums 😁😁
Utakufa tu hata usemeje.Pole MATAGA leo hii ndio mmekubali kuna kufa eh!?
Mitano tena kwa Jiwe akikataa tumlazimishe ! Au nasema uongo ndugu zangu?
Mitano tena! Hadi achoke!Utakufa tu hata usemeje.
Hamna cha mitano wala nini, utakufa tu.Mitano tena! Hadi achoke!
Hamna cha mitano wala nini, utakufa tu.
Hata uweke mividio gani sijui utakufa tu.
Hata Wewe!Na wewe utakwenda tu hata ufanyeje.
Enzi zako pendwa zimekutupa mkono ,yaliyoita hatuyataki tena kwani yametufunza mengi yaliyo maovu na hata yaliyo mema.Kazi iendelee.
Kwani kuna shida gani. Unafikiri na wewe hautakufa sio?Hata Wewe!