Mwenyekiti wa BAWACHA Rorya ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela

Mwenyekiti wa BAWACHA Rorya ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela

Mwenyekiti wa Bawacha Rorya ambaye jana alihudhuria kongamano la Chadema leo amehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja.

Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe yuko ziarani mkoani Mara.

Taarifa rasmi itawajia punde.

Kazi Iendelee!
Wekeni jina la huyo hakimu aliyemhukumu bila option nyingine ya adhabu tuanze kumjadili.
Hana uadilifu na huenda ni chawa wa Biswalo
 
Mwenyekiti wa Bawacha Rorya ambaye jana alihudhuria kongamano la Chadema leo amehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja.

Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe yuko ziarani mkoani Mara.

Taarifa rasmi itawajia punde.

Kazi Iendelee!
Ni upuuzi wa Mahakama tu,tutamtoa mbona! Hatujjawahi kushindwa
 
Masahihisho kidogo: Ni mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Rorya.
Kosa: Wakati wa kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2020; alishtakiwa kua alimtusi kada wa CCM. Kesi iliamriwa mwaka huu mwezi wa tatu kama sijakosea mahakama ya mwanzo Shirati na Hakimu alitoa hukumu ya kua mwenyekiti wa Chadema alishinda kesi.

Baadae kada wa ccm alikata rufaa mahakama ya Hakimu mkazi Tarime.
Leo ukumu imetoka na mwenyekiti wa CHADEMA wilaya Rorya amekutwa na hatia ambapo amehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini TZS 200,000/. Hivyo amelipa faini na anaendelea na maisha mengine.
[emoji106][emoji106]
 
Back
Top Bottom