Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Bado hazijatupa mkono, kazi iendelee kamanda. Au unajifanya huelewi?Enzi zako pendwa zimekutupa mkono ,yaliyoita hatuyataki tena kwani yametufunza mengi yaliyo maovu na hata yaliyo mema.
Hofu yangu isiwe tu bado umekwamia awamu yako pendwa,sasa tupo awamu mpya,unalijua hilo.Bado hazijatupa mkono, kazi iendelee kamanda. Au unajifanya huelewi?
Nimekukumbusha tu, kama ulivyo mwambia jamaa😃 Kama unanikumbusha na mimi, shukrani!Kwani kuna shida gani. Unafikiri na wewe hautakufa sio?
Utakufa tu, tena hivi karibuni,Hofu yangu isiwe tu bado umekwamia awamu yako pendwa,sasa tupo awamu mpya,unalijua hilo.
Ukishakufa nishukuru.Nimekukumbusha tu, kama ulivyo mwambia jamaa😃 Kama unanikumbusha na mimi, shukrani!
Wekeni jina la huyo hakimu aliyemhukumu bila option nyingine ya adhabu tuanze kumjadili.Mwenyekiti wa Bawacha Rorya ambaye jana alihudhuria kongamano la Chadema leo amehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja.
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe yuko ziarani mkoani Mara.
Taarifa rasmi itawajia punde.
Kazi Iendelee!
Najua Wewe umeshatanguliza shukrani za dhati! Msalimie baba ako mwanakwendazake!Ukishakufa nishukuru.
Ni upuuzi wa Mahakama tu,tutamtoa mbona! Hatujjawahi kushindwaMwenyekiti wa Bawacha Rorya ambaye jana alihudhuria kongamano la Chadema leo amehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja.
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe yuko ziarani mkoani Mara.
Taarifa rasmi itawajia punde.
Kazi Iendelee!
Ameshatoka bwashee alilipa faini tsh 200,000Ni upuuzi wa Mahakama tu,tutamtoa mbona! Hatujjawahi kushindwa
Ningewaroga! ShwainiAmeshatoka bwashee alilipa faini tsh 200,000
Hahahaaaa......!Ningewaroga! Shwaini
Utakufa tu, tena hakuna ubishi.Najua Wewe umeshatanguliza shukrani za dhati! Msalimie baba ako mwanakwendazake!
[emoji106][emoji106]Masahihisho kidogo: Ni mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Rorya.
Kosa: Wakati wa kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2020; alishtakiwa kua alimtusi kada wa CCM. Kesi iliamriwa mwaka huu mwezi wa tatu kama sijakosea mahakama ya mwanzo Shirati na Hakimu alitoa hukumu ya kua mwenyekiti wa Chadema alishinda kesi.
Baadae kada wa ccm alikata rufaa mahakama ya Hakimu mkazi Tarime.
Leo ukumu imetoka na mwenyekiti wa CHADEMA wilaya Rorya amekutwa na hatia ambapo amehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini TZS 200,000/. Hivyo amelipa faini na anaendelea na maisha mengine.
Hata Mdude alifungwa😂😂Kufungwa hata Mandela alifungwa
YapMzee mgaya wa
wa jamiiforums 😁😁
Unataka nizeeke mara ngapi?....hata uzeeni kama sio wajukuu zako. (Maombolezo 5:7)
Basi hata wajinga nao huzeekaUnataka nizeeke mara ngapi?
Mbona unaweweseka?Basi hata wajinga nao huzeeka
Kabisa ila kwa sasa ni zamu yenu wafiwa sukumagang!Utakufa tu, tena hakuna ubishi.
Hakuna cha wafiwa wala sijui sukumagang sijui nini kamanda. Utakufa tu.Kabisa ila kwa sasa ni zamu yenu wafiwa sukumagang!