Panaless The Great
Member
- Feb 13, 2013
- 46
- 27
Wewe ni RAIA Wa nchi gani?Mpaka leo hakuna aliyejitokeza kuchukua fomu ,Ina wagombea wote 42 wa mwaka 2015 hawautaki tena urais,Bulembo anasema rais lazima amalize vipindi viwili ,katiba kipengere kipi ,ibara ipi? Kama lazima amalize mihura miwili swali kwanini amechukua fomu ashindane na nani?
nasubiria siku ya uchaguzi tu nimpe Chuma kura yangu maana hakuna namna naona anatosha tu
-maaana kwa vitu alivyofanya kwa awamu hiii ni vikubwa sana
asante sana CHUMA ---TANO TENA
- huku arusha machinga hawasumbuliwi tena kama zamani
- elimu bure kwa watoto wa shule
- miradi mikubwa ya maji arusha
- arusha mjini lami tu
- na kupambana vyema na covid
Sasa mkuu unapatake kura 100%???? How yaniiii...how??? Hata ukipigiwa kura za yes or no huwezi pata asilimia 100Kuna mahali nilihusika kupigiwa kura.
Nilikuwa naamini nakubalika 100%.
Na nilimdharau sana Mpinzani wangu kwani nilijua hakubaliki.
Ebwana siku ya uchaguzi.
Yule jamaa nilimshinda kwa kura 80 tu!! Kati ya kura 398 za wapiga kura wote.
Niliona aibu sana kumbe kuna watu wengi wasionikubali.
So ishu ikishakuwa ni uchaguzi kuna mengi.
Magu kuprint form 1 anaelewa sana.
M
Mod!Naomba mfute huu upumbavu wa Huyu Malaya wa kisiasa.Tuna Mambo mengi ya kujadili siyo uchafu huo
Nilijiamini kwa ujinga.Sasa mkuu unapatake kura 100%???? How yaniiii...how??? Hata ukipigiwa kura za yes or no huwezi pata asilimia 100
Hata kwenye wafuasi wako unaowaamini kabisaa yani lazima kuna masnitch mkuu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hap kwa JPM wakitoa form zingine ndo atajua hajuiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] meza inaweza pinduka mamaeee saa ingine democracy haifaii..Nilijiamini kwa ujinga.
So mpaka leo, mambo yakishakuwa ni uchaguzi! Si mwamini yeyote.
Mpaka leo hakuna aliyejitokeza kuchukua fomu ,Ina wagombea wote 42 wa mwaka 2015 hawautaki tena urais,Bulembo anasema rais lazima amalize vipindi viwili ,katiba kipengere kipi ,ibara ipi? Kama lazima amalize mihura miwili swali kwanini amechukua fomu ashindane na nani?
Ndio hivyo mkuu.Hata kwenye wafuasi wako unaowaamini kabisaa yani lazima kuna masnitch mkuu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hap kwa JPM wakitoa form zingine ndo atajua hajuiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] meza inaweza pinduka mamaeee saa ingine democracy haifaii..
HA HA HA mafisadi ni wepi tena
- mafisadi yote ameyakatalia kurudi tena CCM
- bei ya nishati ya umeme imepungua
- sukari imeshuka bei hadi 500 kwa kg
- watumishi wamepandishwa madaraja
- mfumuko wa bei umepungua zaidi jambo lililopelekea pasiwepo taathira yoyote(licha ya watumishi kutokupandishiwa mishahara yao)
- maji safi na salama yanapatikana takribani 50% ya mikoa yote iliopo Tanzania
- korosho zimepata mnunuaji na wakulima wamepewa stahiki zao
Sema watanzania wanasubiri siku ya Magufuli kuapishwa!Nasubiria siku ya uchaguzi tu nimpe chuma kura yangu maana hakuna namna naona anatosha tu
-maaana kwa vitu alivyofanya kwa awamu hiii ni vikubwa sana
Asante sana CHUMA ---TANO TENA
- Huku arusha machinga hawasumbuliwi tena kama zamani
- Elimu bure kwa watoto wa shule
- Miradi mikubwa ya maji arusha
- Arusha mjini lami tu
- Na kupambana vyema na covid
Kwa hii comment yako unastahili kula ban mods fanyeni kazi yenuM
Mod!Naomba mfute huu upumbavu wa Huyu Malaya wa kisiasa.Tuna Mambo mengi ya kujadili siyo uchafu huo