Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CCM, Dkt. John Magufuli achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kwa muhula wa pili

Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CCM, Dkt. John Magufuli achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kwa muhula wa pili

Nasubiria siku ya uchaguzi tu nimpe chuma kura yangu maana hakuna namna naona anatosha tu
-maaana kwa vitu alivyofanya kwa awamu hiii ni vikubwa sana
  1. Huku arusha machinga hawasumbuliwi tena kama zamani
  2. Elimu bure kwa watoto wa shule
  3. Miradi mikubwa ya maji arusha
  4. Arusha mjini lami tu
  5. Na kupambana vyema na covid
Asante sana CHUMA ---TANO TENA
 
Mpaka leo hakuna aliyejitokeza kuchukua fomu ,Ina wagombea wote 42 wa mwaka 2015 hawautaki tena urais,Bulembo anasema rais lazima amalize vipindi viwili ,katiba kipengere kipi ,ibara ipi? Kama lazima amalize mihura miwili swali kwanini amechukua fomu ashindane na nani?
Wewe ni RAIA Wa nchi gani?
 
M
nasubiria siku ya uchaguzi tu nimpe Chuma kura yangu maana hakuna namna naona anatosha tu
-maaana kwa vitu alivyofanya kwa awamu hiii ni vikubwa sana
  1. huku arusha machinga hawasumbuliwi tena kama zamani
  2. elimu bure kwa watoto wa shule
  3. miradi mikubwa ya maji arusha
  4. arusha mjini lami tu
  5. na kupambana vyema na covid
asante sana CHUMA ---TANO TENA

Mod!Naomba mfute huu upumbavu wa Huyu Malaya wa kisiasa.Tuna Mambo mengi ya kujadili siyo uchafu huo
 
Kuna mahali nilihusika kupigiwa kura.
Nilikuwa naamini nakubalika 100%.
Na nilimdharau sana Mpinzani wangu kwani nilijua hakubaliki.

Ebwana siku ya uchaguzi.
Yule jamaa nilimshinda kwa kura 80 tu!! Kati ya kura 398 za wapiga kura wote.
Niliona aibu sana kumbe kuna watu wengi wasionikubali.

So ishu ikishakuwa ni uchaguzi kuna mengi.
Magu kuprint form 1 anaelewa sana.
Sasa mkuu unapatake kura 100%???? How yaniiii...how??? Hata ukipigiwa kura za yes or no huwezi pata asilimia 100
 
Form ipo Mojaa ila ukitaka Form ya kugombea urais na weww unaweza kwenda kwa Mzee baba akupe upige copy
 
Sasa mkuu unapatake kura 100%???? How yaniiii...how??? Hata ukipigiwa kura za yes or no huwezi pata asilimia 100
Nilijiamini kwa ujinga.
So mpaka leo, mambo yakishakuwa ni uchaguzi! Si mwamini yeyote.
 
Nilijiamini kwa ujinga.
So mpaka leo, mambo yakishakuwa ni uchaguzi! Si mwamini yeyote.
Hata kwenye wafuasi wako unaowaamini kabisaa yani lazima kuna masnitch mkuu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hap kwa JPM wakitoa form zingine ndo atajua hajuiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] meza inaweza pinduka mamaeee saa ingine democracy haifaii..
 
Mpaka leo hakuna aliyejitokeza kuchukua fomu ,Ina wagombea wote 42 wa mwaka 2015 hawautaki tena urais,Bulembo anasema rais lazima amalize vipindi viwili ,katiba kipengere kipi ,ibara ipi? Kama lazima amalize mihura miwili swali kwanini amechukua fomu ashindane na nani?

Katiba ya nchi inataka mgombea lazima apitishwe na chama Cha siasa.

Fomu yake lazima ipelekwe NEC
 
Kwani uzoefu ukoje kwa mnaojua kwamba ifikapo awamu ya pili form huwa anachukua mtu mmoja tu au kwa awamu zilizopita ilikuwaje?
 
  1. mafisadi yote ameyakatalia kurudi tena CCM
  2. bei ya nishati ya umeme imepungua
  3. sukari imeshuka bei hadi 500 kwa kg
  4. watumishi wamepandishwa madaraja
  5. mfumuko wa bei umepungua zaidi jambo lililopelekea pasiwepo taathira yoyote(licha ya watumishi kutokupandishiwa mishahara yao)
  6. maji safi na salama yanapatikana takribani 50% ya mikoa yote iliopo Tanzania
  7. korosho zimepata mnunuaji na wakulima wamepewa stahiki zao
 
Hata kwenye wafuasi wako unaowaamini kabisaa yani lazima kuna masnitch mkuu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hap kwa JPM wakitoa form zingine ndo atajua hajuiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] meza inaweza pinduka mamaeee saa ingine democracy haifaii..
Ndio hivyo mkuu.
Magu analijua hili vizuri sana.
 
  1. mafisadi yote ameyakatalia kurudi tena CCM
  2. bei ya nishati ya umeme imepungua
  3. sukari imeshuka bei hadi 500 kwa kg
  4. watumishi wamepandishwa madaraja
  5. mfumuko wa bei umepungua zaidi jambo lililopelekea pasiwepo taathira yoyote(licha ya watumishi kutokupandishiwa mishahara yao)
  6. maji safi na salama yanapatikana takribani 50% ya mikoa yote iliopo Tanzania
  7. korosho zimepata mnunuaji na wakulima wamepewa stahiki zao
HA HA HA mafisadi ni wepi tena
 
Nasubiria siku ya uchaguzi tu nimpe chuma kura yangu maana hakuna namna naona anatosha tu
-maaana kwa vitu alivyofanya kwa awamu hiii ni vikubwa sana
  1. Huku arusha machinga hawasumbuliwi tena kama zamani
  2. Elimu bure kwa watoto wa shule
  3. Miradi mikubwa ya maji arusha
  4. Arusha mjini lami tu
  5. Na kupambana vyema na covid
Asante sana CHUMA ---TANO TENA
Sema watanzania wanasubiri siku ya Magufuli kuapishwa!
 
Back
Top Bottom