Miradi aliyofanya jiwe ipo chini ya kiwango sana na ni suala la muda tu kabla ya kujulikana ila anatumia nguvu kubwa sana kuzuia watu wasiongee.Nasubiria siku ya uchaguzi tu nimpe chuma kura yangu maana hakuna namna naona anatosha tu
-maaana kwa vitu alivyofanya kwa awamu hiii ni vikubwa sana
Asante sana CHUMA ---TANO TENA
- Huku arusha machinga hawasumbuliwi tena kama zamani
- Elimu bure kwa watoto wa shule
- Miradi mikubwa ya maji arusha
- Arusha mjini lami tu
- Na kupambana vyema na covid
Ongeza ufuta hapo
- mafisadi yote ameyakatalia kurudi tena CCM
- bei ya nishati ya umeme imepungua
- sukari imeshuka bei hadi 500 kwa kg
- watumishi wamepandishwa madaraja
- mfumuko wa bei umepungua zaidi jambo lililopelekea pasiwepo taathira yoyote(licha ya watumishi kutokupandishiwa mishahara yao)
- maji safi na salama yanapatikana takribani 50% ya mikoa yote iliopo Tanzania
- korosho zimepata mnunuaji na wakulima wamepewa stahiki zao
MUNGU mbariki magufuli
Madikteta huwa hawataki ushindani wowote.Mpaka leo hakuna aliyejitokeza kuchukua fomu ,Ina wagombea wote 42 wa mwaka 2015 hawautaki tena urais,Bulembo anasema rais lazima amalize vipindi viwili ,katiba kipengere kipi ,ibara ipi? Kama lazima amalize mihura miwili swali kwanini amechukua fomu ashindane na nani?
Nasubiria siku ya uchaguzi tu nimpe chuma kura yangu maana hakuna namna naona anatosha tu
-maaana kwa vitu alivyofanya kwa awamu hiii ni vikubwa sana
Asante sana CHUMA ---TANO TENA
- Huku arusha machinga hawasumbuliwi tena kama zamani
- Elimu bure kwa watoto wa shule
- Miradi mikubwa ya maji arusha
- Arusha mjini lami tu
- Na kupambana vyema na covid
Ukitaka kamgongee bana kubwa akupe ukatoa kopi...sasa kama kashaanza kujaza sijui itakuwajeFomu ipo moja tu
Kura kwa Magufuli sio takataka nyingineM
Mod!Naomba mfute huu upumbavu wa Huyu Malaya wa kisiasa.Tuna Mambo mengi ya kujadili siyo uchafu huo
mzee, magufuli hahitaj kura yako mwenyekiti wa tume tu anamtangaza hata kama kashindwaNasubiria siku ya uchaguzi tu nimpe chuma kura yangu maana hakuna namna naona anatosha tu
-maaana kwa vitu alivyofanya kwa awamu hiii ni vikubwa sana
Asante sana CHUMA ---TANO TENA
- Huku arusha machinga hawasumbuliwi tena kama zamani
- Elimu bure kwa watoto wa shule
- Miradi mikubwa ya maji arusha
- Arusha mjini lami tu
- Na kupambana vyema na covid
Kwa hiyo ni vizuri awaachie "mabeberu"Mh Rais kuna kipindi ulipoingia madarakani ulikuwa unalalama kuwa majukumu ya urai ni magumu,yanakutesa hadi muda mwingine unakuwa frustrated.
Unalala hadi na mafaili.
Tujulishe kama mambo yamebadilika,sasa ni rahisi na unakula mema ya nchi vizuri hivyo tuondoe mashaka juu yako.
Kama bado,usiirudishe hiyo fomu tuwaachie wapenda madaraka.
Dikteta huyu utasikia 2025 anataka aongezewe hadi 2030.Kwa hiyo ni vizuri awaachie "mabeberu"
Au wapigaji wasio jua thamani ya utanzania