Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CCM, Dkt. John Magufuli achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kwa muhula wa pili

Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CCM, Dkt. John Magufuli achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kwa muhula wa pili

Nasubiria siku ya uchaguzi tu nimpe chuma kura yangu maana hakuna namna naona anatosha tu
-maaana kwa vitu alivyofanya kwa awamu hiii ni vikubwa sana
  1. Huku arusha machinga hawasumbuliwi tena kama zamani
  2. Elimu bure kwa watoto wa shule
  3. Miradi mikubwa ya maji arusha
  4. Arusha mjini lami tu
  5. Na kupambana vyema na covid
Asante sana CHUMA ---TANO TENA
Miradi aliyofanya jiwe ipo chini ya kiwango sana na ni suala la muda tu kabla ya kujulikana ila anatumia nguvu kubwa sana kuzuia watu wasiongee.
 
  1. mafisadi yote ameyakatalia kurudi tena CCM
  2. bei ya nishati ya umeme imepungua
  3. sukari imeshuka bei hadi 500 kwa kg
  4. watumishi wamepandishwa madaraja
  5. mfumuko wa bei umepungua zaidi jambo lililopelekea pasiwepo taathira yoyote(licha ya watumishi kutokupandishiwa mishahara yao)
  6. maji safi na salama yanapatikana takribani 50% ya mikoa yote iliopo Tanzania
  7. korosho zimepata mnunuaji na wakulima wamepewa stahiki zao
Ongeza ufuta hapo
 
Mpaka leo hakuna aliyejitokeza kuchukua fomu ,Ina wagombea wote 42 wa mwaka 2015 hawautaki tena urais,Bulembo anasema rais lazima amalize vipindi viwili ,katiba kipengere kipi ,ibara ipi? Kama lazima amalize mihura miwili swali kwanini amechukua fomu ashindane na nani?
Madikteta huwa hawataki ushindani wowote.
 
Nasubiria siku ya uchaguzi tu nimpe chuma kura yangu maana hakuna namna naona anatosha tu
-maaana kwa vitu alivyofanya kwa awamu hiii ni vikubwa sana
  1. Huku arusha machinga hawasumbuliwi tena kama zamani
  2. Elimu bure kwa watoto wa shule
  3. Miradi mikubwa ya maji arusha
  4. Arusha mjini lami tu
  5. Na kupambana vyema na covid
Asante sana CHUMA ---TANO TENA

Kura tuu inatosha kwa hayo yote uliyoyataja? Mpatie hata mengineyo Dada yangu!
 
JamiiForums-1070046277.jpg
 
Nasubiria siku ya uchaguzi tu nimpe chuma kura yangu maana hakuna namna naona anatosha tu
-maaana kwa vitu alivyofanya kwa awamu hiii ni vikubwa sana
  1. Huku arusha machinga hawasumbuliwi tena kama zamani
  2. Elimu bure kwa watoto wa shule
  3. Miradi mikubwa ya maji arusha
  4. Arusha mjini lami tu
  5. Na kupambana vyema na covid
Asante sana CHUMA ---TANO TENA
mzee, magufuli hahitaj kura yako mwenyekiti wa tume tu anamtangaza hata kama kashindwa
 
Mh Rais kuna kipindi ulipoingia madarakani ulikuwa unalalama kuwa majukumu ya urai ni magumu,yanakutesa hadi muda mwingine unakuwa frustrated.

Unalala hadi na mafaili.

Tujulishe kama mambo yamebadilika,sasa ni rahisi na unakula mema ya nchi vizuri hivyo tuondoe mashaka juu yako.

Kama bado,usiirudishe hiyo fomu tuwaachie wapenda madaraka.
 
Kwa mtu muadilifu ikulu ni mzigo mzito by jk nyerere.

Lakini ndiye alikaa muda mrefu kuliko.sikwambii ni kwanini sababu si kweli kwamba unataka kujua,bali una jibu lako.
 
Mh Rais kuna kipindi ulipoingia madarakani ulikuwa unalalama kuwa majukumu ya urai ni magumu,yanakutesa hadi muda mwingine unakuwa frustrated.

Unalala hadi na mafaili.

Tujulishe kama mambo yamebadilika,sasa ni rahisi na unakula mema ya nchi vizuri hivyo tuondoe mashaka juu yako.

Kama bado,usiirudishe hiyo fomu tuwaachie wapenda madaraka.
Kwa hiyo ni vizuri awaachie "mabeberu"
Au wapigaji wasio jua thamani ya utanzania
 
Tushukuru kasema 10 inamtosha (katiba) au sivyo fikiria akifuata nyayo za M7 au Ka-mchezo.
 
Back
Top Bottom