Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CCM, Dkt. John Magufuli achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kwa muhula wa pili

sisi tukisema wanasema tumetumwa na mabeberu au ni wachadema! ona sasa tuko wengi tunaolipinga hili, nimemuona pale wakati akichukua fomu alikuwa kama kapanik hivi, na nimeona kwa macho yangu fom nimoja tu.
 
Kweli democrasia dah!: Yaani raisi na ukubwa wake wote na amri zake zote kaenda kuchukua form ya kugombea uraisi aje atupigie magoti tena tumpe kula ili atawale tena.
Mtu ambaye angeweza tu kusema bhanaee hamna uchaguz tuchape kazi mpaka 2025 Nitang’atuka niwaache wengine.
Kwani angefanya hivyo sisi nini tungemfanya?? Mangapi akiwa kwenye kiti chake cha uraisi ameyafanya kwa mamlaka yake na hakukua wa kumpinga. Zaidi ya watu kusemea chinichini tu behind the back. Mikotano ya vyama vya siasa mbona kakataza wanaume kimyaaa tushazoea kwanza.
Kweli kabisa atazunguka tena mikoa yote Karibia na kuanza kuona ananiomba kura yangu na kura yangu ni ya muhimu kwake.

Swali je wale waliokutwa na vyeti feki na kutimuliwa Pamoja na family zao watampa kura kweli?
Familia za masheikh wanaosota rumande pamoja na kina Ruge na Yule muhindi watagawa kura kweli kwa muheshimiwa?
Hivi CCM na rasilimali zoote walizokua nazo wanahofia kweli kushindwa?
Nina maswali mengi sana. Majibu sina.
 
Mkuu naamini wewe ni mwenye akili timamu. Udumu hivi. Umejibu kiweledi. Basi msiwasakame jamaa zetu na mwenyekiti wao.
 
Tafadhali kwa watia nia wa ubunge mkoa wa NG'WANZA, mkiandika majimbo yenu yako mkoa wa MWANZA msijesema sijawatahadhalisha! 😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Ccm mmeonyesha udhaifu wa hali ya juu, yani hata mmoja ameshindwa kumchalenji ?
 
Sasa ndo nini yani raisi Magufuli amechukua fom ya kugombea Uraisi?
 
Ulitaka agombee udiwani? Je, hana haki? CCM itawakilishwa na nani kwenye kinyanganyiro kama hamtaki ajitokeze mtu wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…