olinkobole j
Senior Member
- Aug 24, 2019
- 121
- 65
Ningekuwa 40+ ningechukua pls chukueni fomuMpaka sasa aliyechukua fomu ni mmoja.
2015 waliochukua walikuwa zaidi ya 20.
Ni matumaini Yangu kina Mwigulu ,Lukuvi ,Lowasa,Sumaye ,Mwakyembe ,na wengineo wengi watachukua ,tunahitaji demokrasia kuweni mfano