Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM, Ikulu Chamwino

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM, Ikulu Chamwino

Tunataka kuona matokeo chanya ya hivyo vikao kwenye maisha ya wakulima na watu wa hali ya chini na sio matajiri na Wafanyabiashara wakubwa.

Hiyo ndio CCM ya Karume na Nyerere.
Hao watu wa chini wanapaswa kupaza sauti za ili changamoto zao zifanyiwe kazi. Hii tabia yao ya kukaa kimya na kusubiri kusemewa ndiyo hupelekea wanaowasemea kuitwa wachochezi. Changamoto zitakazofanyiwa kazi ni watakaoongea.
 
Chadema huwa hawana matamko ya vikao kila mwana Chadema ni msemaji wa Chama God bless lema anaita kazi ya bodaboda laana mwenyekiti Mbowe na Lisu wanasindikizwa na bodaboda na kuheshimu boda boda

Mbowe anaongelea na kuheshimu Maridhiano Lisu anaita maridhiano hayana maana

Lisu anasema Katiba Mpya ndio agenda muhimu Mbowe anasema tunahitaji maridhiano ya kitaifa

Chadema Taifa hakitangazi maandamano ya kutaka wabunge wa Chadema walioko Bungeni waondoke Bawacha yenyewe inajiamulia kuingia barabarani kivyake

Yaani Chadema kwa sasa haiko organised kabisa haina Central voice kila anayejisikia kubweka chochote anabweka tu
Wewe kijana jikite kwenye uzi wa ccm , ndio maana mnachekwa kila mahali

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Chadema huwa hawana matamko ya vikao kila mwana Chadema ni msemaji wa Chama God bless lema anaita kazi ya bodaboda laana mwenyekiti Mbowe na Lisu wanasindikizwa na bodaboda na kuheshimu boda boda

Mbowe anaongelea na kuheshimu Maridhiano Lisu anaita maridhiano hayana maana

Lisu anasema Katiba Mpya ndio agenda muhimu Mbowe anasema tunahitaji maridhiano ya kitaifa

Chadema Taifa hakitangazi maandamano ya kutaka wabunge wa Chadema walioko Bungeni waondoke Bawacha yenyewe inajiamulia kuingia barabarani kivyake

Yaani Chadema kwa sasa haiko organised kabisa haina Central voice kila anayejisikia kubweka chochote anabweka tu
Basi sawa
 
Kuhusu Kinana, yajayo yatahuzunisha familia yake. Sie kwetu shangwe tu. Ukiua wetu mmoja, tunang'oa wako elfu moja dadeki!
 
Tunataka kuona matokeo chanya ya hivyo vikao kwenye maisha ya wakulima na watu wa hali ya chini na sio matajiri na Wafanyabiashara wakubwa.

Hiyo ndio CCM ya Karume na Nyerere.
Nasikia ni mkakati wa kubuni kuongeza tozo baada ya ile ya stoo za wafanyabiashara wa kariakoo kubuma.

Tozo iliyobuniwa ni kulipia mifugo yote, inayoliwa na isiyoliwa kama ile ya ulinzi yaani paka na mbwa.
 
Chadema huwa hawana matamko ya vikao kila mwana Chadema ni msemaji wa Chama God bless lema anaita kazi ya bodaboda laana mwenyekiti Mbowe na Lisu wanasindikizwa na bodaboda na kuheshimu boda boda

Mbowe anaongelea na kuheshimu Maridhiano Lisu anaita maridhiano hayana maana

Lisu anasema Katiba Mpya ndio agenda muhimu Mbowe anasema tunahitaji maridhiano ya kitaifa

Chadema Taifa hakitangazi maandamano ya kutaka wabunge wa Chadema walioko Bungeni waondoke Bawacha yenyewe inajiamulia kuingia barabarani kivyake

Yaani Chadema kwa sasa haiko organised kabisa haina Central voice kila anayejisikia kubweka chochote anabweka tu
Kugombania keki. [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom