kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Yupo hukumuni huyo,achana nae,habari zake zilishapitaJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo hukumuni huyo,achana nae,habari zake zilishapitaJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Hapo ndio sehemu ya kuanzia maandamano........kafika kwa wakati....... 😀 😀Alikacha maandamno yake haramu sio 🤣
Kaenda kununua baby Johnson arudi zake kulala na mke wakeMnyika yupo wapi kwenye haya maandamano
Alikua na mabaya mengi snaaJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Mnalinda nyumbani kwake......jamaa yupo Migomigo😀😀Alikua anatafuta picha za kupigia kampeni mwakani hana lolote😂😂😂
Mara ya mwisho mbowe kuwekwa ndan ilikuwa n awamu ya nani?Alikua na mabaya mengi snaa
Enzi zake usingemuona mbowe magomeni
Demokrasia haiwezekani Afrika !Uhuru hamuuwezi
Kwahy hawa wanaotekwa na kuuawa wanajifanyia hvy wnyw?Kwahiyo Lisu alijipiga risasi mkuu?
Kwahy tumekubaliana kuwa JPM hakuwa tatizo?Aliua sana na huyu wa sasa naye anaua sana CCM ni ilelile
NdioAlisingiziwa?
JPM hakusingiziwaKwahy tumekubaliana kuwa JPM hakuwa tatizo?
Aisee...naona umewaza sana etii?..Alikua anatafuta picha za kupigia kampeni mwakani hana lolote😂😂😂
Mbona haya yanayoendelea sasa n kama yale yaliyokuwa yanafanyika enzi za JPM na haya yamethibitishwa na viongozi wenu wa ChademaJPM hakusingiziwa
Nilishakujibu kwenye post # 14Mbona haya yanayoendelea sasa n kama yale yaliyokuwa yanafanyika enzi za JPM na haya yamethibitishwa na viongozi wenu wa Chadema
Muhasisi wa haya yanayotokea hivi sasa ni huyo JPM, hata kama utumie Dodoki kumsafisha, hasafishiki.Kwahy hawa wanaotekwa na kuuawa wanajifanyia hvy wnyw?
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amekamatwa na Polisi baada ya kuwasili Magomeni Mapipa akiwa anazungumza na wanahabari kuhusu maandamano
Ikumbukwe kuwa Septemba 11, 2024, Mbowe alitangaza kufanyika maandamano ya kulaani matukio ya watu kutekwa na mauaji, akiwemo kada wake, Ali Kibao.
Hata hivyo, Jeshi la Polisi kupitia msemaji wake, David Misime lilitangaza kuyapiga marufuku.
Kwa mujibu wa Mbowe, wameamua kuweka mkazo kuhusu suala hilo, baada ya maombi ya mahitaji, ikiwemo kutaka kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, viongozi waandamizi wa ulinzi na usalama kama sehemu ya uwajibikaji.
Amesema jambo lingine waliloliomba ni kurejeshewa kwa viongozi wa chama hicho, waliotekwa kwa nyakati tofauti wakiwa hai au hali ya umauti, akiwemo Deusdetith Soka, Dioniz Kipanya, Jacob Mlay na Mbwana Kombo.
Soma Pia: LIVE Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024